Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi

Mambo ya hivi nani anataka?
Screenshot_2021-06-10-10-34-22-72.jpg
 
HAKUNA UMUHIMU WA NDOA KARNE HII KWA SABABU...

Na, Robert Ng'apos Heriel

Hakuna umuhimu wa ndoa katika Karne hii Kwa sababu;

1. THAMANI YA MWANAMKE IMESHUKA NA INAKARIBIA KUTOWEKA
Unapozungumzia Ndoa unamzungumzia Mwanamke, kadiri mwanamke anavyokuwa na thamani ndivyo thamani ya ndoa nayo inakuwa na thamani. Mwanamke yupo Kama Mratibu Mkuu wa Ndoa. Kushuka Kwa hadhi ya wanawake Duniani kunatokana na wao KUJIRAHISISHA. Kadiri mwanamke anavyopewa Uhuru ndivyo thamani yake inazidi kuporomoka, ni hakika itatoweka kabisa. Lengo la sheria za kubinya Uhuru wa mwanamke tangu zamani ni kulinda thamani yake. Uhuru uliopitiliza wa wanawake utazidi kushusha u


Why keep a cow if you can buy milk at cheaper cost than keeping a cow?
 
Kuna ka ukweli. Ila kuna mambo yanayochangia hali hii;
1. Utandawazi - Zamani hakukuwa na Simu za mkononi ila sikuhizi ukipata namba ya simu tu unamaliza mchezo.

2. Mmomonyoko wa maadili - Zamani wazazi walikuwa wanatulea kwa kufuata maadili.
Sikuhizi ngazi ya familia haina udhibiti, watoto wanakuwa huru kufanya chochote na kupelekea Ngazi ya Jamii nayo kuwa ya hovyo na kusababisha kuwa na Taifa la kizazi kilichoshindikana. Ukiangalia tabia za watoto wa shule za kata ndio unapata hali halisi ya jamii ilivyo kwenye malezi.
 
Kwakweli kuhusu wanawake kujirahisisha imepitiliza sana (ingawa sio wote) ila ni kwa % kubwa sana. Kuna muda ukikaa unawawazia kaka na ndugu wa kiume kwa jinsi mambo yanavyokwenda uhakika wa kupata mke aliye bora ni kwa 20% tu (hasa mijini). Na hiki ndo chanzo cha hofu kwa wanaume kuhusu NDOA.

Pia kushamiri kwa biashara ya ngono, wanawake (baadhi) hawana hofu tena kuhusu kujiuza..
 
Kwakweli kuhusu wanawake kujirahisisha imepitiliza sana (ingawa sio wote) ila ni kwa % kubwa sana. Kuna muda ukikaa unawawazia kaka na ndugu wa kiume kwa jinsi mambo yanavyokwenda uhakika wa kupata mke aliye bora ni kwa 20% tu (hasa mijini). Na hiki ndo chanzo cha hofu kwa wanaume kuhusu NDOA.

Pia kushamiri kwa biashara ya ngono, wanawake (baadhi) hawana hofu tena kuhusu kujiuza..

Yaani kitendo cha wanawake wengi kutaka kufanya ujasiriamwili wajipatie mali kumeangusha biashara ya umalaya, bei zipo chini mno, ndoa nazo hazikamatiki
 
Back
Top Bottom