Hakuna umeme, hakuna maji na joto kali. Hii mande si mchezo

Hakuna umeme, hakuna maji na joto kali. Hii mande si mchezo

TANESCO NA DAWASCO SIJUI DAWASA MTAUA WATU. Kama bi shosti kaamua kutesa watanganyika basi hii yenyewe.
Umeme Toka Jana saa 10 hakuna...!!!
===
Vitu vinaozea kwenye majokofu....ni kutiana hasara juu ya hasara.
 
Tanesco tunahitaji Umeme . Imetolewa amri ya watu kukaa majumbani kupisha sikuuuza uhuru wa Tanganyika.

Tunakaaje nyumbani hakuna maji hakuna umeme ilihali transformerd tunazisikia zinaunguruma kama umeme upo ila majumbani hautufikii.

Tunahitaji umeme na.maji period kwa hizo siku 3 zinazotarajiwa watu kukaa ndani
 
Mnaishi Tandahimba???. Umeme kwa Miaka hii sio tatizo
 
Tanesco tunahitaji Umeme . Imetolewa amri ya watu kukaa majumbani kupisha sikuuuza uhuru wa Tanganyika.

Tunakaaje nyumbani hakuna maji hakuna umeme ilihali transformerd tunazisikia zinaunguruma kama umeme upo ila majumbani hautufikii.

Tunahitaji umeme na.maji period kwa hizo siku 3 zinazotarajiwa watu kukaa ndani
Tangazo la kukaa ndani kwa siku 3 limetolewa wapi?
 
Inside sources zinasema mpango ni kuwaacha wapigwe na kiu na joto kali, na wakimwagiwa ile mimaji ya kuwasha na mibomu ya machozi wakose maji ya kunawa uso. Psychological warfare.
 
Back
Top Bottom