Hakuna ufalme unaoweza kujifitini

Hapa hujajibu swali mzee,ndio maana swali langu lina baki pale pale,na hapa nakuuliza tena "Ni yapi hayo ambayo uislamu ume copy kutoka katika ukristo ?"

Nasubiri jibu la swali hili na hayo mengine niliyo uuliza katika maoni uliyo ni quote hapo juu.
kuna vitabu vi 4 vilivyo katika uislamu (kutoka katika ikristo sijui injili, zaburi, n.k)
 
kuna vitabu vi 4 vilivyo katika uislamu (kutoka katika ikristo sijui injili, zaburi, n.k)


Nacheka sana,je hivyo vitabu vinne vimekuja kama utajo wa kihistoria au waislamu wana vitumia kama muongozo ?
 
wanavutumie,vipo kwenye kitabu chao


Hapa kaka umesema uongo,sababu kuna maswali nikiendelea kukuuliza utakwama.

Ila tu nataka nikusaidie,mimi ni muislamu pia,tena naendelea kujifunza uislamu wangu. Vitabu hivyo ambavyo ni Zaburi,Taurati,Injili na Kurasa za mtume Ibrahimu na Musa,vitabu hivi vimetajwa tu kama utajo wa kihistoria yaani sisi waislamu kujua yale yaliyopita kwa mitume hawa watukufu. Kwa maana ukiisoma Qur'an hukuti vifungu vya Zaburi wala Injili wala Taurati.

Hapa nakuliza swali,huwa unaisoma Qur'an ?
 
BIBLIA TAKATIFU ILIVYOPATIKANA

Constantine and his bishop votes a bunch of books as a the word of God (325 AD)
They pick and choose what they want in bible kwa madai kuwa zingine hazina uvuvio. Waliteketeza all other pre-Christian document that proved the religion was fictious (391AD)


In order to make religion popular walimuua yoyite ambaye hakunali dini mpya and made laws prohibiting any talk about religion.

Leo mkristo anakumbatia biblia bila kujua anachokiamini kimepangwa na wanaume kadhaa ili aamini na sio God.
Naona uislam na usabato unashabihiana maana wote hawatumi chair fire

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sawa! Wasiwasi wangu ni pale ambapo Mungu ndo muumba kila kitu, alijua kabla kwamba shetani ni shetani tu kwa sababu anajua hata yale ambayo yatatokea baadaye.
Sasa kama alijua kuwa shetani (zao lake) atakuja kuwa mpinzani wake - huoni kwamba alitengeneza mazingira ya kujifitini mwenyewe?
Mawazo yangu yanagota hapo!
Mungu hajatengeneza mfumo wa kujifitini kwa sababu Yeye ni Ultimate Boss. Yeye ana password za matatizo na changamoto zote. na kama ulivyosema sahihi kabisa, anajua MWISHO tangu MWANZO. Kwa hiyo, hakuna kiumbe anayeweza kufanya jambo la kum-surprise Mungu. Ila viumbe ndio wanaweza kuanzisha mambo yatakayo-backfire kwao - maana wao ni viumbe hawajui kila kitu.
 
Hapa hujajibu swali mzee,ndio maana swali langu lina baki pale pale,na hapa nakuuliza tena "Ni yapi hayo ambayo uislamu ume copy kutoka katika ukristo ?"

Nasubiri jibu la swali hili na hayo mengine niliyo uuliza katika maoni uliyo ni quote hapo juu.
Sijui kuwa ni mimi huwaga siwaelewi nyie watu au namna gani vepe mna kasoro kubwa ya uelewa !!!

Rahisi tu Isa bin Maliamu si mmecopy bana?
manake ki-Biblia ni yesu mwana wa Mungu aliyezaliwa na Bikra Maliamu unataka yepi sasa au una tusumbua tu akili zetu?
 
Sijui kuwa ni mimi huwaga siwaelewi nyie watu au namna gani vepe mna kasoro kubwa ya uelewa !!!

Rahisi tu Isa bin Maliamu si mmecopy bana?
manake ki-Biblia ni yesu mwana wa Mungu aliyezaliwa na Bikra Maliamu unataka yepi sasa au una tusumbua tu akili zetu?
Unajua maana ya kunakili au kwa sababu mmeona yamefanana ndiyo mnasema tumenakili. Kwanza unaweza kunithibitishia ya kuwa kipindi cha Mtume wetu Biblia ilikuwepo ?

Pili, mtume wetu alikuwa hajui kusoma na kuandika, alicopy vipi ? Tueleze kinagaubaga hili lilikuwaje na liliwezekana vipi ?

Tatu, jifunze kuandika jina la mama yake Issa.
 
Unajua maana ya kunakili au kwa sababu mmeona yamefanana ndiyo mnasema tumenakili. Kwanza unaweza kunithibitishia ya kuwa kipindi cha Mtume wetu Biblia ilikuwepo ?

Pili, mtume wetu alikuwa hajui kusoma na kuandika, alicopy vipi ? Tueleze kinagaubaga hili lilikuwaje na liliwezekana vipi ?

Tatu, jifunze kuandika jina la mama yake Issa.
Pepo la ubishi hilooo!!! kunakili!! tena?

mfano halisi ni hiyo Kitabu yenu! mmenakili yoote ya kwenye Biblia mliiga mkisaidiwa na Vatican Authority! ambao walitawala Maeneo hayo hata hao waliopo leo ni masalia ya Vatican tu! hkn ujanja! ambayo huyu Bwana mkubwa mwenye jina lipitalo majina yote alipita kutoa habari njema!

Akajitahidi sana kuibadilisha Biblia! weee! akafikia hatua ya kuipiga marufuku ndo kama anazidisha moto! alichokiona ndo km hivi! Moto wa neno unaendelea kuwaka kwa kasi ya ajabu yaani mpaka kesho! hkn wa kuudhiti tena na hatatokea katu, na bado utawaka zaidi!!

Yes! Biblia ilikuwepo kitambo sana! ilimvutia sana na kweli aliijua vilivyo lkn akapewa onyo! akaonyeka! huyo mtume wenu ni wa juzi tu hapa! alikuwa anapitapita humu! wewe usione aibu kijana kata shauri leo! nikupige sala ya toba hapahapa!

Hujui Alikopi vipi? kaa chini sikia nikuelezee vizuri!!
''watu wa karibu yake walimfanyia kazi hii ya kukopi! waliibia kutoka kwa Biblia takatifu wakamlisha maneno'' mfano, rahisi tu kwani Jiwe anafanya kila kitu yeye pale Ikulu? hata buchani hajawahi kanyaga wanae hawali?

zile hotuba unazo sikia anaandikiwa? anampatia w/nje akasome UNGA kwishne! amewahi kanyaga UNGA yule au wewe si mbongo? je mambo ya nchi hayaendi!

Wewe si una mke weye au hujaoa? unakaaga jikoni kupika na kupakua weye? Naam! waosha vyombo weye? sijui kukosha wanao weye? umewahi fua vyupi vya mkeo? km unafanya una jina lako maalum mtaani hujui tu!

Sasa viswali gani hivi unaniuliza, mtu km mie mwenye akili mingi aliye ndani ya Yesu wa Nazareth? kijana nimekupa muda wa kutafakari lete maswali magumu sana! Yaliyo shindikana.kwa majibu haya huna la kusema.

Jina la Mama yake Issa liko sahihi Kabisa kwa mujibu wenu! zaidi ya hapo huyo ni wa kwako/wenu mko sahihi kabisa!! yule isa wa kuiga! acha likae hivohivo!! ili siku mwenye jina akija uwe kuni pindi km ukigoma kutubu!! ameonya mara kadhaa, mie narudia kuonya tena usije lia kuwa sikukwambia! kwa roho nyeupe kabisaa!!

Acha kusaidia watu flani flani kupotosha ukweli maksudi kwa faida yao? halafu kwanza hawawapendi! unajichekesha hapa!! ndg rudi kundini uwe miongoni mwa wana kondoo wake. tena una bahti! wenzako hawapati hii makitu, na mara moja usichelewe,

Mara ukipata ujumbe huu TUbu, muda ni mchache sana, kuliko unavyo dhani wengi km wewe hawawezi pata hii tamu ya rojo! ukikomaza shingo mwana utalia na kusaga meno siku mwana kondoo atakaporudi mawinguni kutuchukua

Hapo nakwambia ndo utanijua rasmi na utakili kimoyo moyo... Nyarusare yureeeeee!! jamani wee!! anapeta, alisema sana lkn sikumsikiliza! Loooh!!! hapo lilio kudanganya hulioni tena lina adhabu kubwa zaidi!

bado una nafasi! Hutaki unafanya roho ngumu nikufanyeje sasa? chagua wewe nikufanye aje? mimi nalala bana mvua inanyesha huku kwetu!!! Ubishi tuu!! mfyuuxxm!!
 
mfano halisi ni hiyo Kitabu yenu! mmenakili yoote ya kwenye Biblia mliiga mkisaidiwa na Vatican Authority! ambao walitawala Maeneo hayo hata hao waliopo leo ni masalia ya Vatican tu! hkn ujanja! ambayo huyu Bwana mkubwa mwenye jina lipitalo majina yote alipita kutoa habari njema!
Sasa acha stori wewe tuthibitishie hili. Kwamba ilikuwa lini na ilikuwaje kuwaje ?
 
Akajitahidi sana kuibadilisha Biblia! weee! akafikia hatua ya kuipiga marufuku ndo kama anazidisha moto! alichokiona ndo km hivi! Moto wa neno unaendelea kuwaka kwa kasi ya ajabu yaani mpaka kesho! hkn wa kuudhiti tena na hatatokea katu, na bado utawaka zaidi!!

Yes! Biblia ilikuwepo kitambo sana! ilimvutia sana na kweli aliijua vilivyo lkn akapewa onyo! akaonyeka! huyo mtume wenu ni wa juzi tu hapa! alikuwa anapitapita humu! wewe usione aibu kijana kata shauri leo! nikupige sala ya toba hapahapa!
Thibitisha ya kuwa kipindi cha Mtume Biblia ilikuwepo.
 
Imani chanzo chake ni kusikia na kusikia huja kwa neno,..naomba niishie hapo.
Imani chanzo chake ni kusikia na kusikia huja kwa Neno la Kristo.

Umeacha Neno muhimu sana.
Ni kama umepotosha maandiko.
Kristo Ndiye Njia, Kweli na Uzima, imani inayotokana na mtu mwingine ni imani feki.
Haina Mamlaka na haina mwisho mwema.
Kumbuka hata kuvuta bangi kunatokana na Imani. Wengi wana imani ila imani ya kweli inatoka katika kinywa cha Kristo.
Yeye ndiye KWELI.
 
Sasa acha stori wewe tuthibitishie hili. Kwamba ilikuwa lini na ilikuwaje kuwaje ?
Ndg bado huelewi tuuu! sikia Kazi ya Mwalimu ni kukuonyesha njia! then mwanafunzi unajiongeza zaidi! siyo mwalimu akupe majibu!

Ni wazi hii inaonyesha mahali paleeee!! umesomea!!! wapi na lini!!! unabisha?
 
Title yangu inaeleweka vyema. Kwamba ufalme ukiwa sehemu hauwezi kukubali kutumia ili ujifitini kupata mshindani.

Sasa kwenye vitabu vitakatifu kuna sehemu kumeandikwa mungu wa dunia hii. Alafu humo humo humo kumeandikwa kwamba Mungu ni mmoja, muumba mbingu na dunia.

Ilikuwaje akakubali kuachia sehemu yake na kumuachia mungu mwingine ambaye anaandikwa kwa herufi ndogo (Shetani)

Ikikuwaje akamruhusu huyo mungu wa dunia hii awatese waja wake wakati imeandikwa kwamba Mungu hawezi kumjaribu mtu?

Ilikuwaje akakubali mwanae wa pekee apate mateso ya kiukweli pale msalabani?

Je! maandiko hayo tuendelee kuyaamini wakati kuna tetesi wale walioyatafsiri tayari wameanza kuonesha kuwa yana mapungufu?

Nionavyo mimi ni kwamba tulilishwa matango pori. Mungu yupo ila sio huyo anayehubiriwa!

Mchango wako unahitajika sana!
nataka nikupe idea but if you real need to know, then take time to look jw.org/sw
kwanza jina mungu ni jina la cheo chochote kinachoabudiwa kinaitwa mungu...Majina binafsi yapo kama Yehova, Baali, Shetani n.k.
hilo swala ulilotaja ni kwamba Mungu Yehova(kulingana na zabur 83:18 ndio jina lake) hatawali duniani bali anatawala ni Shetani(1yoh 5:19) tangu Uasi Eden anatawala dunia imekuwa hivyo tangu yale mapinduzi edeni. katika miaka ya kuanzia mwaka 33 hadi 2021 kuna kipindi shetani alifurushwa mbinguni na akashuka dunia rejea ayubu 1 utaona kuna kipindi alikuwa na acsess ya kuzunguka mbinguni na dunia lakin tangu mwaka huo aliweza zunguka dunia tu chimba zaidi kwenye ufunuo sura 9.
Kuhusu Mungu Yehova kumwaacha Yesu afe ni utaritibu wake alioandaa kwa wale watakaunga mkono ufalme wake unaweza kutoa uhai na hata wapinzani wakiua raia wake Yehova bado anaweza kuingilia kati na pia kuteseka kunaonyesha uzalendo kwa hali ya juu kwa serikali yake na hata hali ziwe ngumu...

Swala kuu ni utawala na pia madhara yaliyotokea na Mungu Yehova azuiwi na muda anaweza tumia hata mamilioni ya miaka kushughulikia swala hilo
 
Ndg bado huelewi tuuu! sikia Kazi ya Mwalimu ni kukuonyesha njia! then mwanafunzi unajiongeza zaidi! siyo mwalimu akupe majibu!

Ni wazi hii inaonyesha mahali paleeee!! umesomea!!! wapi na lini!!! unabisha?
Hili huna uwezo nalo.

Kazi yangu nimemaliza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom