zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 10,140
- 21,451
kuna vitabu vi 4 vilivyo katika uislamu (kutoka katika ikristo sijui injili, zaburi, n.k)Hapa hujajibu swali mzee,ndio maana swali langu lina baki pale pale,na hapa nakuuliza tena "Ni yapi hayo ambayo uislamu ume copy kutoka katika ukristo ?"
Nasubiri jibu la swali hili na hayo mengine niliyo uuliza katika maoni uliyo ni quote hapo juu.