Hakuna ubishi, S2kizzy ni producer bora kuzidi mkongwe Master Jay

Chord progression, Drums, Bass, Vocals na hard lips sio kujua kuandaa muziki.

Production ya mziki inafanyika kitaalamu sana. S2kizzy ni beatMaker ambaye amefanikiwa kufanya kazi na stars* wa muda huu. Ila MJ ni producer complete kabisa.

Kabla haujamfikia MJ, je! inawezekana kumsimamisha Hermy B na S2kizzy sehemu moja? Acha dharau kijana
 
View attachment 2891931

S2kizzy aka Zombie ni producer mkali kuliko Master Jay.
Zombie ambaye ni Grammy nominated mara kadhaa na kafanya nyimbo ambazo ana international hits kuzidi Master Jay ambaye alikuwa akimiliki studio ya MJ production ambayo alitumia wataalam wa kutengeneza muziki kama Maron linje, Profesa Ludigo, Maundi na wengine kadhaa uku akiweka sign yake kwenye nyimbo aonekane kazitengeneza yeye.

Naandika haya ili kumpa maua yake S2kizzyy ili jamii ijue ukubwa alionao kuzidi mkongwe Master Jay ambaye tunamheshimu licha ya kuwa mzee mwenye mihemko sana anaependa kutrend ambae ana historia mbaya ya kutumia wasanii wa kike kama Shaa akiwarubuni kwa studio time.

Zombie apewe heshima yake sio kila aliyetangulia anamzidi wa sasa lazima tuelezane ukweli.
Ila ni kweli Master Jay hakukosea. Kiba ana kipaji cha kuimba zaidi ya boss wako Diamond hapo ofisini kwenu wcb.
 
Jamaa anashangaza sana, music production kwa sasa ni rahisi
Unarecord umekaa kwenye kochi hukum Umeshika kikombe chako cha kahawa, producer yupo na laptop tu na bado sound inatoka vizuri
hakuna ulazima tena wa kuingia booth

Mj ilikua ili apate beat na artist aingie kwenye beat ilikua ni vita kubwa, beat tu ishapigwa vyombo vingi sana
Alafu hao wenzao siyo kama walilala wakamka wakawa maproducer
Wale walisomea kabisa....

Ova
 
Maproduza waliyotengeneza mziki ya zamani walitengeneza kwa kiwango cha juu ndomana miziki yao inaishi
Mpaka leo

Ova
 
View attachment 2891931

S2kizzy aka Zombie ni producer mkali kuliko Master Jay.
Zombie ambaye ni Grammy nominated mara kadhaa na kafanya nyimbo ambazo ana international hits kuzidi Master Jay ambaye alikuwa akimiliki studio ya MJ production ambayo alitumia wataalam wa kutengeneza muziki kama Maron linje, Profesa Ludigo, Maundi na wengine kadhaa uku akiweka sign yake kwenye nyimbo aonekane kazitengeneza yeye.

Naandika haya ili kumpa maua yake S2kizzyy ili jamii ijue ukubwa alionao kuzidi mkongwe Master Jay ambaye tunamheshimu licha ya kuwa mzee mwenye mihemko sana anaependa kutrend ambae ana historia mbaya ya kutumia wasanii wa kike kama Shaa akiwarubuni kwa studio time.

Zombie apewe heshima yake sio kila aliyetangulia anamzidi wa sasa lazima tuelezane ukweli.
Usilinganishe kizazi cha amapiano tena mliocopy and paste pale south africa na kizazi cha bongo fleva ya kina Mr.Ebbo
 
Master jay beats zake nyepesi sana alafu hujui muziki wewe kabisa unaongea vitu gani beats za kwaya ata mtoto wa darasa la kwanza anapiga ile ni kwaya inaenda na watu wake usiwe mbumbumbu ficha ujinga
Mtoto wa darasa la ngapi? Umerogwa wewe sio bure, unazani akina Master Jay wanategemea FL studio na Cubase Kama maproduza wenu uchwara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom