NOT ENOUGH
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 596
- 307
Jamani mwenzenu nimejifunza kitu kikubwa na ningependa kushare na nyie wenzangu. Katika dunia hii hakuna ndugu wala rafiki wa kweli. Katika rafiki zako wote ulio nao 99.9% si wakweli na ukitaka kujua ni wakati una matatizo kama kufukuzwa kazi, kusimamishwa na kuugua wewe mwenyewe. Na katika ndugu zako ulio nao 98% siyo ndugu wa kweli ukitaka kujua vigezo navyo ni hivyo hivyo au subiri watoto warudishwe shuleni kwa kukosa ada.
Mimi sasa hivi ndugu zangu ninaowaamini ni watoto wangu na mama yangu, kidogoooooooooooooooo na mume/mke. Ogopa sana wale marafiki unaokula nao maisha huwa hawafai kabisaaaaaaaaaaaaaaa. Binafsi nimepunguza marafiki kwa 99% likewise na ngugu
Mimi sasa hivi ndugu zangu ninaowaamini ni watoto wangu na mama yangu, kidogoooooooooooooooo na mume/mke. Ogopa sana wale marafiki unaokula nao maisha huwa hawafai kabisaaaaaaaaaaaaaaa. Binafsi nimepunguza marafiki kwa 99% likewise na ngugu