Hakuna ndio maana nikasema kuwa "hakuna mzuri zaidi ya mkeo"..!!!!!!!
inategemea vigezo ulivyojiwekea.ila sanasana ni figure,rangi na suraUnapimaje uzuri wa mtu??
Bora muwe mnakumbushana na masuala haya pia.....maana duh!!!!!
Unaona sasa? Kina Mentor wamesema mabazazi hatuji kwenye thread kama hii. Eti kulikuwa na sababu ya sie wenye wake zetu kuja? Huu uzi ni mahsusi kwa madogo wanaotaka kuoa.
Haya kawaambie wasirudie tena kutuzodoa. Mie nawahi jukwaa la wakubwa.
Sawa mkuu nimekusoma vema:Eunuch - Wikipedia, the free encyclopedia..Neno hili, ambalo kwa Kiingereza ni eunuch, ...
Sawa mkuu nimekusoma vema:Eunuch - Wikipedia, the free encyclopedia
Mkuu si uchangie??
Au bado hujaoa??
Mkuu nimeshaoa huu ni Mwaka Wa kumi Sasa na niko na watoto Watatu!
Na kutokana na Mimi kuzisoma hoja zenu tu maana yake ni kwamba Nakubaliana na hoja msingi!
Nitaweza kuchangia pale mambo yanapiweza kwenda kinyuma na mada! Lkn mpk saizi wachangiaji wengi wanaunga mkono hoja yako!
Mke wangu mfi kila kitu kwangu Na Mimi ndo kila kitu kwake!
Niseme Jambo moja mkijenga msingi imara ktk ndoa kwa kwa kutekeleza dhana ya UPENDO KAMILIFU, ndoa itakua Paradise Na Km msingi Ukiwa mbovu ndoa itakua mateso na mzigo!
Asante sn Mkuu!
kila la heri kaka na ulichoandika
Huu uzi unawahusu wote wenye wake na wasiokuwa nao
Wale wanaoyafanya yaliyoelezwa kwenye mada na wale wasioyafanya ili wakae mbali nayo!!
Umenena vyema sana mkuu.......
Ubarikiwe ...........!!!!!!!!!