Hakuna mzuri zaidi ya mkeo ......!!!!

Hakuna mzuri zaidi ya mkeo ......!!!!

Kwa tafsiri gani??
Kiswahili! Towashi ni mwanaume aliyehanithiwa, mseja ni mwanaume aliyefikia umri wa kuoa na mwenye "uwezo" wa kuoa kibailojia lakini hajaoa (hataki kuoa) - wengi huita bachelor/bachela. Kwa hiyo wewe umeamua kuwa towashi? ama "mseja"?
 
Kiswahili! Towashi ni mwanaume aliyehanithiwa, mseja ni mwanaume aliyefikia umri wa kuoa na mwenye "uwezo" wa kuoa kibailojia lakini hajaoa (hataki kuoa) - wengi huita bachelor/bachela. Kwa hiyo wewe umeamua kuwa towashi? ama "mseja"?

Umekariri ...!!!!!!!!!!!
 
lara 1 seems like unaishi kwenye imaginative world!!!!!!!!!!inabidi ifikie wakati ukubaliane na hali halisi ya maisha,inaonyesha kichwani mwako unafikiria utakuwa mzuri forever!!!!!!!!!!!!!!!!NO big NO lara 1 uzuri una mwisho utazeeka na licha ya kuzeeka ngomaa iklia sana mwishowe hupasuka,vitoto vizuri vinazaliwa kucha na wanaume nao tamaa zinaongezeka kila kukicha so angalia sana hao wanaokupa kichwa kuwa u mzuri sana itafikia wakati watakuona old fashioned na kustick na kudraw attention yao kwa vipya vinayoibuka,that's life lara 1 uzuri unaexpire,na kila kitu au mtu ana wakati wake wa kuvuma,usishangae itafikia wakati wewe ndo utakuwa unatafuta attention ya lazima kutoka kwa wanaume unaowaona wewe kuwa wa maana na wale ambao unawadespise kwa wakati huo wao ndio wanaanza kukuzukia na kukutetemekea!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!watch out lara 1 you have overconfidnce of your beuty,congratulations for you being blessed with a wonderful beuty but watch out hata mzee hajijui kuwa kazeeka mpaka pale atakapoona kuwa hawezi tena kufanya mambo aliyoyazoea kuyafanya hapo zamani!!!!!!!!!!!!!!!!!

BLAH! BLAH! BLAH! Nikizeeka nitatafua PLAN B! O the mean time let e enjoy it while it lasts.
 
Most of time I agree with ur comments ila kwa mtu aliyeoa akija kwako kutaka uroda si maana yake kwamba anakupenda kuliko mkewe. Our wives have a lot of things and values which we will never get from U. Amini usiamini kuwa wanaume wanajuta sana baada ya kumaliza kupiga games za mchangani na kuwasaliti wake zao.

Mi nawashauri wanaume waliooa watulie na wake zao maana huko ndo kwenye mapenzi ya kweli tuachane na vishawishi vya shetani. Kwa upande wangu sijawahi na sitowahi kupenda mwanamke mwingine kimapenz zaidi ya mke wang ambaye kwangu ndo kila kitu na ananipa kila nachohitaji ktk anga za mapenzi na ninaridhika.

Nakusalimu lara 1

Kwa mkeo unaweza kwenda na free pumbu mwezi mzima, ila huku pesa ndo gate pass. Huna nakutoa race kama Hussein Bolt kama sio relay.

ake zenu baadhi u ndo wanafaidi ila wengi MAJANGAAAAAAA! Nyumba ndogo hazipiki zinakuka dinner kwa reservation tu, mkeo anamaliza mkaa na gesi. KUKU WAKO MWENYEWE MANATI YA NINI.
 
Ur very right my dia...na deep down in their hearts wanajua hilo sema tamaa ndo zinawaangusha dhambini


....
.... Hapa hata nikiibia mke wangu atanisamehe tu...wee...she will..
 
images
images

images

!

hizi picha za warembo uliowaeka zinakinzana na uhalisia wa maneno na uhalisia wa wake zetu tuliowaacha nyumbani,mweeh kizuri kinjiuza bana....
 
Nimekariri nini? mbona hayo ni maneno ya kiswahili tu! Au wewe ulikusudia nini uliposema umeamua kuwa "towashi"?

Biblia imezungumzia matowashi. Inasema kuwa wanamume na wanawake fulani huchagua useja kwa hiari zao wenyewe. Ni kweli. Na ingefaa useja uchaguliwe kwa "idhini..., si kwa amri." (1Wakorintho 7:6).

"Maana wako matowashi waliozaliwa hali hiyo toka matumboni mwa mama zao; tena wako matowashi waliofanywa na watu kuwa matowashi; tena wako matowashi waliojifanya kuwa matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea neno hili, na alipokee." (Mathayo 19:12).

Neno hili, ambalo kwa Kiingereza ni ‘eunuch', limeonekana mara 18 katika Biblia ya Kiingereza ya ‘Revised Standard Version'. Lakini limeonakana mara chache zaidi katika Biblia za Kiswahili.

Kwa hiyo neno hilo linamaanisha mambo mengi ikitegemea fasiri ya Biblia inayotumiwa. Kwa wanaotaka kulifuatilia kwa karibu zaidi katika Biblia ya Revised Standard Version watazame aya inayofuata.

Neno hilo limeonekana mara kadhaa katika vitabu kadhaa vya Biblia (tazama katika mabano). Katika kitabu cha Esta 2:3, 14, 15; 4:4, 5 (mara tano), Isaya 56:2, 3 (mara mbili), Mathayo 19:12 (mara tano), Yeremia 38:7 (mara moja) na Matendo 8:27, 34, 36, 38, 39 (mara tano).

Katika Biblia za Kiswahili neno hilo litamaanisha mambo mengi kuanzia towashi, bikira, suria(?) au mjakazi(?)
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Ngoja nikioa namie nitachangia mada :coffee:
 
umesema kweli Eiyer.....
but ngoja nami niwaambie wadada wenzangu......kuolewa siyo kuzeeka jamani.
kuna wadada wakishaolewa tu ndo utafikiri kaambiwa kaingia dunia nyingine.
alikuwa anavaa vinguo vyake anapendezaaaaa mpaka mkaka akamtamani na kumpenda na kumuweka ndani, hapo sasa anaona yeye ni MRS basi ni mwendo wa minguo....... yupo chumbani lakini hasomeki kabisaaaa, utafikiri kavalia kwenda kanisani. michezo yoote aliyokuwa anacheza na mwenzie inaisha, kisa, mke wa mtu, jamaniiiiii, kwa nini mkaka asiangalie pembeni kidogo!
Nami nawaambia wadada tubadilike...... kuolewa, kuzaa, kupata wajukuu, hakuna maana ndo tujiachie
 
Last edited by a moderator:
hizi picha za warembo uliowaeka zinakinzana na uhalisia wa maneno na uhalisia wa wake zetu tuliowaacha nyumbani,mweeh kizuri kinjiuza bana....

Unapimaje uzuri wa mtu??
 
umesema kweli Eiyer.....
but ngoja nami niwaambie wadada wenzangu......kuolewa siyo kuzeeka jamani.
kuna wadada wakishaolewa tu ndo utafikiri kaambiwa kaingia dunia nyingine.
alikuwa anavaa vinguo vyake anapendezaaaaa mpaka mkaka akamtamani na kumpenda na kumuweka ndani, hapo sasa anaona yeye ni MRS basi ni mwendo wa minguo....... yupo chumbani lakini hasomeki kabisaaaa, utafikiri kavalia kwenda kanisani. michezo yoote aliyokuwa anacheza na mwenzie inaisha, kisa, mke wa mtu, jamaniiiiii, kwa nini mkaka asiangalie pembeni kidogo!
Nami nawaambia wadada tubadilike...... kuolewa, kuzaa, kupata wajukuu, hakuna maana ndo tujiachie

Nyie wadada wote wa MMU kujeni msome hapa......!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom