Kiswahili! Towashi ni mwanaume aliyehanithiwa, mseja ni mwanaume aliyefikia umri wa kuoa na mwenye "uwezo" wa kuoa kibailojia lakini hajaoa (hataki kuoa) - wengi huita bachelor/bachela. Kwa hiyo wewe umeamua kuwa towashi? ama "mseja"?Kwa tafsiri gani??
Kiswahili! Towashi ni mwanaume aliyehanithiwa, mseja ni mwanaume aliyefikia umri wa kuoa na mwenye "uwezo" wa kuoa kibailojia lakini hajaoa (hataki kuoa) - wengi huita bachelor/bachela. Kwa hiyo wewe umeamua kuwa towashi? ama "mseja"?
Nimekariri nini? mbona hayo ni maneno ya kiswahili tu! Au wewe ulikusudia nini uliposema umeamua kuwa "towashi"?Umekariri ...!!!!!!!!!!!
Ni mzuri kwa vipimo vya aliyemuoa ndio maana akamuweka ndani awe mke!
lara 1 seems like unaishi kwenye imaginative world!!!!!!!!!!inabidi ifikie wakati ukubaliane na hali halisi ya maisha,inaonyesha kichwani mwako unafikiria utakuwa mzuri forever!!!!!!!!!!!!!!!!NO big NO lara 1 uzuri una mwisho utazeeka na licha ya kuzeeka ngomaa iklia sana mwishowe hupasuka,vitoto vizuri vinazaliwa kucha na wanaume nao tamaa zinaongezeka kila kukicha so angalia sana hao wanaokupa kichwa kuwa u mzuri sana itafikia wakati watakuona old fashioned na kustick na kudraw attention yao kwa vipya vinayoibuka,that's life lara 1 uzuri unaexpire,na kila kitu au mtu ana wakati wake wa kuvuma,usishangae itafikia wakati wewe ndo utakuwa unatafuta attention ya lazima kutoka kwa wanaume unaowaona wewe kuwa wa maana na wale ambao unawadespise kwa wakati huo wao ndio wanaanza kukuzukia na kukutetemekea!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!watch out lara 1 you have overconfidnce of your beuty,congratulations for you being blessed with a wonderful beuty but watch out hata mzee hajijui kuwa kazeeka mpaka pale atakapoona kuwa hawezi tena kufanya mambo aliyoyazoea kuyafanya hapo zamani!!!!!!!!!!!!!!!!!
Most of time I agree with ur comments ila kwa mtu aliyeoa akija kwako kutaka uroda si maana yake kwamba anakupenda kuliko mkewe. Our wives have a lot of things and values which we will never get from U. Amini usiamini kuwa wanaume wanajuta sana baada ya kumaliza kupiga games za mchangani na kuwasaliti wake zao.
Mi nawashauri wanaume waliooa watulie na wake zao maana huko ndo kwenye mapenzi ya kweli tuachane na vishawishi vya shetani. Kwa upande wangu sijawahi na sitowahi kupenda mwanamke mwingine kimapenz zaidi ya mke wang ambaye kwangu ndo kila kitu na ananipa kila nachohitaji ktk anga za mapenzi na ninaridhika.
Nakusalimu lara 1
Ur very right my dia...na deep down in their hearts wanajua hilo sema tamaa ndo zinawaangusha dhambini
Nimekariri nini? mbona hayo ni maneno ya kiswahili tu! Au wewe ulikusudia nini uliposema umeamua kuwa "towashi"?
umesema kweli Eiyer.....
but ngoja nami niwaambie wadada wenzangu......kuolewa siyo kuzeeka jamani.
kuna wadada wakishaolewa tu ndo utafikiri kaambiwa kaingia dunia nyingine.
alikuwa anavaa vinguo vyake anapendezaaaaa mpaka mkaka akamtamani na kumpenda na kumuweka ndani, hapo sasa anaona yeye ni MRS basi ni mwendo wa minguo....... yupo chumbani lakini hasomeki kabisaaaa, utafikiri kavalia kwenda kanisani. michezo yoote aliyokuwa anacheza na mwenzie inaisha, kisa, mke wa mtu, jamaniiiiii, kwa nini mkaka asiangalie pembeni kidogo!
Nami nawaambia wadada tubadilike...... kuolewa, kuzaa, kupata wajukuu, hakuna maana ndo tujiachie