Mkuu,
Eti hao sio wife material !!!!!!!
- She is the one who decided to put up with all(ALL) your short comings and weaknesses forever
- Umemkosea mara nyingi na amekusamehe na mko pamoja
- Amewaacha wanaume wengine wote na anakuwaza wewe tu...Hata kama akilalamika unachelewa kufika nyumbani-(Imagine someone who wants to see you there na humpi chochote). Wakati kwengine kila mtu yuko busy na mambo yake
- Big up kwa wives wote!!!
Naunga mkono mada hii kwa sana tu. Mke wangu ndo kila kitu kwang na namin yeye ndo mzur na mtamu kuliko woooooote kwa kila jambo coz nilimchagua mwenyewe bila shurut na nkaridhika kwamba ananifaa kabisa. Nampenda sana mke wangu mpenzi
Ni kawaida kusikia Wanaume
makazini au mahali popote pale pa mikusanyiko yetu kuwasifia baadhi ya
wanawake wanaokatiza mbele ya macho yetu,kitendo hiki hutupelekea wakati
mwingine hata kuingia majaribuni
Hili jambo la kumsifia mwanamke ambae umemuona siku moja tu ni kitendo
ambacho sikubaliani nacho hata kidogo,mwanamke ambae umemuona siku hiyo
tu na ukazuzuka na mguu au makalio tu sio sahihi kabisa
Sidhani kama ulikosea ulipomuona mkeo na najua unaikumbika sana siku ya
ndoa yenu
![]()
![]()
Huyu
ni mwanamke uliyemchagua kati ya wana wake zaidi ya Bil 3 walioko
duniani
Umemchagua akulelee wanao
Umemchagua akupikie chakula
Umemchagua akupe huduma zote tena katika maisha yako yete
Iweje uwaone wanawake wa mitaani kuwa ndio wazuri??
Unadhani unakuwa unamtendea haki mkeo kweli?
Ukweli ni kuwa hakuna mwanamke mzuri kuliko mkeo dunia yote hii na
kutolea macho wanawake wapitaji tu kama hawa sio sahihi
![]()
![]()
Hao
ni wapitaji tu na hicho unachokidhania ni bora kiko kwa mkeo na ni bora
zaidi
Hakuna zaidi ya mkeoa na jaribu kumpenda na kumheshimu zaidi
Huyu ndie ubavu wako na hakuna kama yeye
![]()
Hebu
mpende mkeo na jisikie fahari kuwa nae bana ........!!!!!!!!
Ur very right my dia...na deep down in their hearts wanajua hilo sema tamaa ndo zinawaangusha dhambini
Nampenda sana MKE wangu
Kama kuna anayezuzuka na makalio na mguu, aoe wa aina hiyo ili awe anazuzukia ndani kwake!
Mhhhhhhhhhhhhh!!!!!!
WAZURI TUPO BANAAA !!!!!!!! Kiuhalisia watu kibao mkeo HAGUSI LEVEL ZAO!!!!!!! Wengi wake zenu ni 5/10 na migume gume iliomshinda mtu ni 10/10 ikipungua sanaa ni 9/10. Nani anabisha? Unataka kusema Klyn hamkuti mke wa machache? PALEASEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!! Dont be so dramatic.
The point is MKEO ANA INTERNAL BEAUTY na most of all ANAKUABUDU NA MAPUNGU YAKO LAKI 5000000000000000!!!!!!!!!!!! Kwako amefika bei. Ila sisi wa nje japo EXTERNALY tunamkimbiza mkeo mbayaaaaaaaaaa ila to us wewe kama wewe YOU MEAN NOTHING TO US! AND YOU WILL NER AMOUNT TO ANYTHING IN OUR LIVES THAN THE POWER OF YOUR WALLET!!!!!!!!! We dont give a damn about our health,your peace of mind or your moral levels. When was the last time small house ilikwambia uende CHURCH au kwa DR? Your wife tells u to go t church cause SHE IS WORRIED YOU WONT MAKE IT TO THE NEXT LIFE N SHE WILL BE SAD SINCE SHE WOULD MARRY U AGAIN IN THE NEXT LIFE. But small house doesnt give a f. how any days u last in this life.
The funny thing about most men THEY NEVER REALIZE HOW LUCKY THEY ARE!!!!!!!!! We mtu anakupenda janua to december, karizika na wewe kwa hali zote, she is proud of u n using your name. Ila wewe aaaah! Vya kunyonga huvitaki wataka vya kuchinja.
SOME TIMES TOO MUCH BLESSING AND LUCK GETS BORING!!!!!!!!!! Its when Bad news comes fun and interesting. We are always available to ENTERTAIN your Ego, but IT ALWAYS COSTS YOU MORE THAN MONEY!!!!!!!!
Most of time I agree with ur comments ila kwa mtu aliyeoa akija kwako kutaka uroda si maana yake kwamba anakupenda kuliko mkewe. Our wives have a lot of things and values which we will never get from U. Amini usiamini kuwa wanaume wanajuta sana baada ya kumaliza kupiga games za mchangani na kuwasaliti wake zao.
Mi nawashauri wanaume waliooa watulie na wake zao maana huko ndo kwenye mapenzi ya kweli tuachane na vishawishi vya shetani. Kwa upande wangu sijawahi na sitowahi kupenda mwanamke mwingine kimapenz zaidi ya mke wang ambaye kwangu ndo kila kitu na ananipa kila nachohitaji ktk anga za mapenzi na ninaridhika.
Nakusalimu lara 1