Hakuna mzuri zaidi ya mkeo ......!!!!

Hakuna mzuri zaidi ya mkeo ......!!!!

Hahahahah...
Kaka Eiyer
Sie na Wao nani kinara wa ku cheat?

Uongo Unategemea na mazingila na ktk hili swala wanaume na wanawake wanahusika kwa namna yeyote ile!

Nitakutolea Mfano! Mwanaume anaweza akampenda mwanamke kweli na Huyo mwanamke akaamua kua na Huyo mwanaume kwasababu tu ya pesa!! Hapa nani muongo?

Na pia mwanaume anaweza akawa na mwanamke kwa ajili ya kukidhi haja yake tu na mwanamke akaamua kua na Huyo mwanaume kwelikweli. Sasa hapa nani muongo?

Kuna mifano mingi sn lkn kwa swala la uongo wote pande zote zinahusika ila inategemea na mzimgila!
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli ulivosema hakuna zaidi ya mkeo lakini wakti mwingine wanaume hukosea. Unakuta mtu kaoa yule ambaye si mkewe. Siku akigundua mkewe alipo ndo kasheshe inaanza na mwenye cheti. Mke si cheti.

Teh teh teh
Da sophy bana
Mbona comments zako zinawananga waliofunga ndoa (wenye vyeti)?
 
Uzi umeenda shule Eiyer...

Ila kwa sasa nimeamua kuamia jukwaa la siasa...hili jukwaa kila siku zinavyosonga linazidi kuwa la stress ...full hasira kila nisomapo thread....

Siwezi badili tabia ya mtu mmoja mmoja....

Nimeamua kujali yangu miye NK...maana najikuta wakati mwingine natoa povu kusema huyo alochiti mme wangu...maisha yenyewe mafupi nianze fikiria shida na tabia za watu nsowajua

najua namna ya kumthibiti wa kwangu kila mtu na abebe mzigo wake

ngoja nianze kuchangia kwenye maendeleo ya taifa thru jukwaa linaloongelea issues za kitaifa...

Maana hili jukwaa linatia mtu pressure bila sababu ya msingi
 
Ukweli wa mambo ni tamaa tu inayotusumbua na si kingine maana kama mimi me wangu ni mzuri sana na ana kila sifa ya kuwa mke na hata ukimpeleka katika wife material yupo. Lakini cha ajabu bado nawagonga sana nje na kiukweli ni wachache unakuta wanakuwa katika level yake au kumzidi.
 
Back
Top Bottom