The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,148
- 2,542
hujui maana ya kukunwa shem
kinakuchanganya nn sasa!
shemeji yangu huyu chardams kaleta tafraniShem , kunani hapa ? Mi ndo nimeudandia huu uzi sasa hivi, nakutana na kukunana!
En'hee mikuno ya nini/nani?
Nani anakuna/kunwa? Makunaji yamekaa vipi hapa?
Hahahahahaaaashemeji yangu huyu chardams kaleta tafrani
amesema hakuna mwanaume JF/CC anaepata raha kama yy
raha yenyewe ni ya kukunwa!sasa mwanaume anakunwa?
ametutia mashaka huyu kiumbe basi tu!
nitakuja chukua badala yake,changu chake, chake changu
Kukunwa kaka
tiririka japo kidogo!
Duh'' bado siamini kama huyu ni Chardams anae taka kukunwa kha! Ngoja nijiaminishe kuna mtu ka hack acount yake
kwakuwa wote twakwunwa au!!!