Alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara juzi maeneo ya makao mapya badala ya kuwaeleza wananchi namna atakavyotatua matatizo yao lukuki,mgombea huyu kwa tiketi ya ccm Arusha mjini alionyesha jinsi CCM ilyoishiwa sera na kuanza kuleta mambo ya mipasho na kuwaponda wanaume wa Arusha kuwa hawakumtokea alivyokuwa msichana ndio maana akaenda kuolewa zanzibar.
watu kama hawa hawatakiwi kabisa bungeni.
CHADEMA HOYEE....
watu kama hawa hawatakiwi kabisa bungeni.
CHADEMA HOYEE....