Tatizo la mademu wa kibongo ni moja. Katika pitapita mitaani unaweza kukutana na demu ukashtuka kumzania anafanana na mtu umjuaye then ukimsalimia tu utasikia nina njaa au lete habari wewe. Ukijifanya una maneno mengi hapo ndipo utajikuta unafungishwa ndoa ya mkeka. Sasa mwangalieni Dida, sura yake tu mgogoro au labda anababaishwa na mkorogo wake. Kingine, ukiona mwanamke anayetapatapa namna hii basi ujue anajihami kwani haiwezekani wanaume wamwache tu hivi hivi, huyu huenda ana mapungufu fulani kitandani, si bure.