Alikuwa Dida wa Mchops...akaja akawa Dida wa G....sasa hivi sijui ni Dida wa nani?
Ila kauli kama hiyo nshawahi kuisikia kutoka kwa mdada mmoja wa Ki-Congo.
Alinitamkia kabisa 'Ngabu, mimi sijawahi kuachwa na mwanaume'.
Lakini mdada mwenyewe ni mmoja ya wale wanaodhani kila mwanaume anamtaka.
Yaani kwa mfano akisalimiwa na mwanaume halafu huyo mwanaume atake kufanya small talk yeye anahitimisha kuwa anatakwa.
Wakati mwingine huwa nadhania labda ana matatizo ya kisaikolojia hivyo anakuwa anajaribu kujiaminisha mambo ambayo ni sivyo ili kunyanyua self-esteem yake.
Mfumo dume @ Work......
Ni nani alisema mwanamke hana uwezo wa kumuacha mwanaume...?
Ikiwa sheria za dini na hata nchi zinaruhusu mwanamke kumuacha mwanaume kama anaonekana kwenda kinyume na taratibu za ndoa................ sasa ni kipi cha ajabu hapo...
Mie sina hoja ni swali tu, mbona sura mwafrika afu miguu mzungu!??
Mfumo dume @ Work......
Ni nani alisema mwanamke hana uwezo wa kumuacha mwanaume...?
Ikiwa sheria za dini na hata nchi zinaruhusu mwanamke kumuacha mwanaume kama anaonekana kwenda kinyume na taratibu za ndoa................ sasa ni kipi cha ajabu hapo...
Anaongea sana huyo, anaolewaje na wanaume asiowajua tabia?
Mjini kuna pilika! Kumbe keshaolewa twice? Na hao wanaume anaoacha mara nyingi ni wangapi? Natamani kumfanyia study.
She is being deserted constructively without her knowledge and in the end she thinks she is the winner, but in reality she is a looser.Mjini kuna pilika! Kumbe keshaolewa twice? Na hao wanaume anaoacha mara nyingi ni wangapi? Natamani kumfanyia study.
kwa kipi babu wee
kuku wa kuchora tu huyu
hatagi,hawiki,hatikisiki!
Aache kutuzuga, ana nini asiachwe?[/QUOT kweli wanawake wakiwezeshwa wanaweza