Kakaah! nye!
Hapo chacha, siku hizi anavaa ngozi ya kitimoto usoniMie sina hoja ni swali tu, mbona sura mwafrika afu miguu mzungu!??
Yeuwiiiiiiiiiiie auwiiiiiiiiiiiiie yeuwiiiiiiiiiii, kelwuwiiiiiiiikiiVimeo vingine vya ajabu sana..! Kijitu kimetumika kotekote halafu kinatuletea story za udaku. Iko hivi videmu kama hivi huwa ni outing moja tu at a decent place na kanakutanulia miguu faster na baada kuliwa unakatafutia vijisababu ili kakupige chini halafu kesho kanatangaza kuwa kamekumwaga.
Kaongo hako, Mimi nakujua tangia kanakaa ubungo nhc nyumba ndogo[h=3]" HAKUNA MWANAUME MWENYE UBAVU WA KUNIACHA....."DIDA[/h]
MTANGAZAJI wa Redio Times FM, ya jijini Dar, Khadija Shaibu Dida amefunguka kuwa, hajawahi kuachwa, mara nyingi huwaacha wanaume
Akiongea na mwandishi , Dida alisisitiza kuwa katika ndoa mbili alizopitia alishtuka mapema baada ya kuona maelewano na waume zake yanakwenda mrama, fasta akabwaga manyanga.
Mimi sijawahi kuachwa, huwa nawaacha, unajua miye ni mtu ninayependa amani muda wote na sitaki kusumbuliwa katika maisha yangu, alisema Dida.
Jamani ninawauliza swali je ni kweli anavyosema bibie Dida? Mnae mjuwa bibie Dida tupeni habari zake.
Hahahaaa labda angekuwa na 'msambwanda' na 'msambwanda' hana anajichubua tuuuuuuuuAache kutuzuga, ana nini asiachwe?