" Hakuna mwanaume mwenye ubavu wa kuniacha..." Dida

" Hakuna mwanaume mwenye ubavu wa kuniacha..." Dida

[h=3]" HAKUNA MWANAUME MWENYE UBAVU WA KUNIACHA....."DIDA[/h]


MTANGAZAJI wa Redio Times FM, ya jijini Dar, Khadija Shaibu ‘Dida’ amefunguka kuwa, hajawahi kuachwa, mara nyingi huwaacha wanaume

Akiongea na mwandishi , Dida alisisitiza kuwa katika ndoa mbili alizopitia alishtuka mapema baada ya kuona maelewano na waume zake yanakwenda mrama, fasta akabwaga manyanga.


“Mimi sijawahi kuachwa, huwa nawaacha, unajua miye ni mtu ninayependa amani muda wote na sitaki kusumbuliwa katika maisha yangu,”
alisema Dida.



Jamani ninawauliza swali je ni kweli anavyosema bibie Dida? Mnae mjuwa bibie Dida tupeni habari zake.



ka picha basi wengine hatumfahamu
 
Alikuwa Dida wa Mchops...akaja akawa Dida wa G....sasa hivi sijui ni Dida wa nani?

Ila kauli kama hiyo nshawahi kuisikia kutoka kwa mdada mmoja wa Ki-Congo.

Alinitamkia kabisa 'Ngabu, mimi sijawahi kuachwa na mwanaume'.

Lakini mdada mwenyewe ni mmoja ya wale wanaodhani kila mwanaume anamtaka.

Yaani kwa mfano akisalimiwa na mwanaume halafu huyo mwanaume atake kufanya small talk yeye anahitimisha kuwa anatakwa.

Wakati mwingine huwa nadhania labda ana matatizo ya kisaikolojia hivyo anakuwa anajaribu kujiaminisha mambo ambayo ni sivyo ili kunyanyua self-esteem yake.
Upo sahihi Ngabu..huyu dida nae anatatizo la kisaikolojia
 
Kwa maana hiyo ana mwanaume mmoja au kagongeka sana maana kuachika ni kuachika tu awe ameacha au ameachwa
 
MTANGAZAJI wa Redio Times FM, ya jijini Dar, Khadija Shaibu Dida amefunguka kuwa, hajawahi kuachwa, mara nyingi huwaacha wanaume

Akiongea na mwandishi , Dida alisisitiza kuwa katika ndoa mbili alizopitia alishtuka mapema baada ya kuona maelewano na waume zake yanakwenda mrama, fasta akabwaga manyanga.

Mimi sijawahi kuachwa, huwa nawaacha, unajua miye ni mtu ninayependa amani muda wote na sitaki kusumbuliwa katika maisha yangu, alisema Dida.



Jamani ninawauliza swali je ni kweli anavyosema bibie Dida? Mnae mjuwa bibie Dida tupeni habari zake.
Rip
 
Alikuwa Dida wa Mchops...akaja akawa Dida wa G....sasa hivi sijui ni Dida wa nani?

Ila kauli kama hiyo nshawahi kuisikia kutoka kwa mdada mmoja wa Ki-Congo.

Alinitamkia kabisa 'Ngabu, mimi sijawahi kuachwa na mwanaume'.

Lakini mdada mwenyewe ni mmoja ya wale wanaodhani kila mwanaume anamtaka.

Yaani kwa mfano akisalimiwa na mwanaume halafu huyo mwanaume atake kufanya small talk yeye anahitimisha kuwa anatakwa.

Wakati mwingine huwa nadhania labda ana matatizo ya kisaikolojia hivyo anakuwa anajaribu kujiaminisha mambo ambayo ni sivyo ili kunyanyua self-esteem yake.
 
MTANGAZAJI wa Redio Times FM, ya jijini Dar, Khadija Shaibu Dida amefunguka kuwa, hajawahi kuachwa, mara nyingi huwaacha wanaume

Akiongea na mwandishi , Dida alisisitiza kuwa katika ndoa mbili alizopitia alishtuka mapema baada ya kuona maelewano na waume zake yanakwenda mrama, fasta akabwaga manyanga.

Mimi sijawahi kuachwa, huwa nawaacha, unajua miye ni mtu ninayependa amani muda wote na sitaki kusumbuliwa katika maisha yangu, alisema Dida.



Jamani ninawauliza swali je ni kweli anavyosema bibie Dida? Mnae mjuwa bibie Dida tupeni habari zake.
Mwanamke mwenyewe mbaya. Hana shape wala sura rangi imemsaidia kidogo ila ni mbaya kwa kweli
 
MTANGAZAJI wa Redio Times FM, ya jijini Dar, Khadija Shaibu Dida amefunguka kuwa, hajawahi kuachwa, mara nyingi huwaacha wanaume

Akiongea na mwandishi , Dida alisisitiza kuwa katika ndoa mbili alizopitia alishtuka mapema baada ya kuona maelewano na waume zake yanakwenda mrama, fasta akabwaga manyanga.

Mimi sijawahi kuachwa, huwa nawaacha, unajua miye ni mtu ninayependa amani muda wote na sitaki kusumbuliwa katika maisha yangu, alisema Dida.



Jamani ninawauliza swali je ni kweli anavyosema bibie Dida? Mnae mjuwa bibie Dida tupeni habari zake.
cha kwanza nilitamani nione picha yake kwanza dah ila mimi hapana
 
Mara ya mwisho alikuwa mke wa Meya wa dsm kama kumbukumbu zangu ziko sawa,hivi mwanamke kaolewa zaidi ya wanaume watano nawewe unaenda kuoa unakuwa na akili timamu kweli?
Mwanamke mwenyewe mbaya. Hana shape wala sura rangi imemsaidia kidogo ila ni mbaya kwa kweli
cha kwanza nilitamani nione picha yake kwanza dah ila mimi hapana
Mwanamke mwenyewe mbaya. Hana shape wala sura rangi imemsaidia kidogo ila ni mbaya kwa kweli
Hahaha 😂 😂 nyinyi kwa tabia yenu mtakuja kuoa mizimu, yaani mtu kashatangulia halafu bado tu mnamtamani.

Ama kweli dunia haijawa kuishiwa na mambo.
 
Mara ya mwisho alikuwa mke wa Meya wa dsm kama kumbukumbu zangu ziko sawa,hivi mwanamke kaolewa zaidi ya wanaume watano nawewe unaenda kuoa unakuwa na akili timamu kweli?
Atakuwa anapewa kisoda wewe
 
Back
Top Bottom