snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,325
mwenzangu si nimekuta nimemchamba marehemu!Shangazi hujambo
mwenzangu si nimekuta nimemchamba marehemu!Shangazi hujambo
Wewe ndo utaolewa na mzimu we umeona mi namtamani mwanamke wa hivyo?Hahaha 😂 😂 nyinyi kwa tabia yenu mtakuja kuoa mizimu, yaani mtu kashatangulia halafu bado tu mnamtamani.
Ama kweli dunia haijawa kuishiwa na mambo.
Chingeni sana, kumtamani marehemu si salama kabisa.Wewe ndo utaolewa na mzimu we umeona mi namtamani mwanamke wa hivyo?
Hadi leo unachambana na uzee huo!?mwenzangu si nimekuta nimemchamba marehemu!
Sijamtamani nimesema Rip mkuuuHahaha 😂 😂 nyinyi kwa tabia yenu mtakuja kuoa mizimu, yaani mtu kashatangulia halafu bado tu mnamtamani.
Ama kweli dunia haijawa kuishiwa na mambo.
Nani atamani dem mbovu vile!?Chingeni sana, kumtamani marehemu si salama kabisa.
Anha, bahati yako.Sijamtamani nimesema Rip mkuuu
Mbona alikuwa anajinasibu sana enzi za uhai wake.Nani atamani dem mbovu vile!?