Mama Elvis
Member
- Apr 10, 2012
- 24
- 1
Mama ni mama hta iwe vp!kwanza wanawake mlio na watoto nadhan uchungu mnaujua.ebu fikiria hcho ktu thn mwsho wa cku mtoto anakudharau,ofcoz tumuombe Mungu awacmamie watoto wetu.huyo mama alikufa kwa huzuni sna,wkt watoto ni furaha na faraja toka kwa Mungu.