Hakuna mwanamke ambaye hajawahi ‘kujiuza’

Hakuna mwanamke ambaye hajawahi ‘kujiuza’

Mmh nimeelewa hio video, ila binafsi kuzama chumvini hapana, ila kama mdada ana makalio yenye shepu na rangi nzuri, namfanyia rimjob (napitisha ulimi wangu kwenye njia yake ya haja kubwa) Seran
Unakaribia kuchanganyikiwa na 💩 wewe sio mara ya kwanza unafagilia huu ushenzi🤢
 
Ndivyo dunia ilivyo, no free lunch hasa kwa nchi za kimasikini kama Tanzania. Ukishachukua namba tu tegemea yeye kuishiwa kila kitu kuanzia chakula, gas, umeme, maji, vocha, kodi, kuumwa hadi chupi.

Mtu kapanga chumba analipa 200k, hana stable income au hana income kabisa ila anaishi lavishly, mtu wa hivi ukijiingiza you're gone my friend.

Nawapanga tu vijana, DATING A BROKE LADY ni kujitakia ufukara, hasa wakati huu mnajitafuta kiuchumi.
20260313_184513.jpg
 
Ukiona hivo wewe kua mwekezaji jiokotee Gen Z flan hv ambae unakamudu mpeane kampan wakati mnasubiri unyakuo.
Aarrghhh nianze tena kumfundisha hapa unashika hivi, hapa usitumie nguvu?? Akhaa! Nataka mzee mwenzangu tukikutana ni kazi kazi hakuna kushangaana😁
 
Back
Top Bottom