mtarimbo
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,529
- 3,919
Ni kweli tunajiuliza kama mamlaka zinawekewa mkono na Mungu, je wanaoiba kura halafu wanashinda huwa mkono wa Mungu unakua na hiyo serikali?
Mimi labda nitowe wazo langu. Labda hao wanaoibiwa kura na wakashindwa, MUNGU hajawakubali ndio maana akaruhusu waliopo waendelee hata kwa kutenda ulaghai.
Upinzani wa Bongo unahitaji maarifa makubwa sana ili kubeba dola maana walianza vizuri kupingana na mambo ya kifisadi na uzembe kwa watumishi wa umma sasa hivi wamegeuka kupinga maendeleo na kutetea watumishi wazembe, aiseeee! Alafu Mungu asaini mpewe dola?
Please Mbowe, jipange tafuta ulipokosea maana CHADEMA inaweza ikapata kibali mbele za Mungu.
Mimi labda nitowe wazo langu. Labda hao wanaoibiwa kura na wakashindwa, MUNGU hajawakubali ndio maana akaruhusu waliopo waendelee hata kwa kutenda ulaghai.
Upinzani wa Bongo unahitaji maarifa makubwa sana ili kubeba dola maana walianza vizuri kupingana na mambo ya kifisadi na uzembe kwa watumishi wa umma sasa hivi wamegeuka kupinga maendeleo na kutetea watumishi wazembe, aiseeee! Alafu Mungu asaini mpewe dola?
Please Mbowe, jipange tafuta ulipokosea maana CHADEMA inaweza ikapata kibali mbele za Mungu.