Hakuna mahusiano ya "kawaida" tena?

BInti wa miaka 14 na kaka yake wa miaka 16 ambao wanapata muda kuchungulia MMU na kukuta habari za kaka na dada wanaotunguana na hawana mahali pa kuulizia (kwa sababu yoyote ile) mwisho mmoja anamtamani mwenzake kwa sababu wanafikiria "ni mambo ya kawaida".. tunawasaidia kweli? Au tuweke angalau uzio wa aina fulani kama ulioko kwenye jukwaa la watu wazima ili angalau mambo mengine tuwalinde watoto na wadogo zetu hadi wakiwa wamefikia kukomaa na kuyaelewa mapenzi vizuri?

Japokuwa kuna umuhimu wa kuwa na a proper system ya kuelewesha vijana wetu ili waweze kutofautisha mabaya na mazuri.The whole society is so messed up,kama sie wakubwa tunakuwa confused hivi,sijui tutawaficha wapi watoto wetu!
 
MMK; ndiyo maana nakumbuka enzi zile ya the bold and the beautiful, mama yangu alikua ananiambia kwanini naangalia takataka ambayo haina mafunzo mazuru katika maisha zaidi ya kukufundusha "mwanaume ana lala na mama, alafu na mtoto etc..." Siku hizi TV ina mambo mengi ambayo nitofauti na yale ya zamani.. na hamna control juu ya vitu watoto au vijana wana angalia siku hizi...

Wao wana kwambia wana enda na wakati... Wewe unaishia kufikiri wakati unaenda bila wewe..
 
MBU uko wapi??

...nipo dada'ngu wee!

Unajua, pale juu kuna kipengele kinasema JF Where We Dare Talk Openly, ...Jamii Forum iwape nini tena!
Miaka ile ya nyuma, 2007, 2008, 2009 na kidogo mwanzoni mwa 2010 kulikuwa na mada zenye
kuchangamsha vichwa, ambazo zilivutia wengi kulivamia na kuchangia jukwaa hili.

Bahati mbaya, au nzuri...umri unakwenda, vijana wa 80's wanabaleghe nao. Kwa kujidhania wapo 'huru' nyuma ya mtandao na Pen names (Anonymous) wanazotumia, wengi wao wameamua kuufanya ukumbi ni kikao cha karata na kupiga soga.
These days nakutana na topics zinazonistaajabisha IQ za muanzishaji na wachangiaji, mfano;

  • Hivi kuna Mwanaume hajawahi kupiga Punyeto?
  • kwanini mademu wanasikia kiu
  • Nikiwa kifuani
  • Nilianza mwaka kwa kufumaniwa.
  • Mume Kuvaa Kanga - Wakati Gani Unafaa?
  • nk...
Mada hizi hupata wachangiaji wengi kwani haziwaumizi sana akili kutafakari kabla ya kujibu.
Mzaha mzaha hutawala kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Jambo la msingi, maveteran na wale wachangiaji mahiri waendelee kuleta mada za maana, na kuacha kuchangia topics zisokichwa wala miguu
...otherwise, jamvi la MMU linaelekea kugeuzwa 'Darhotwire.'
 
Nahisi ni watu wanatafuta popularity na idadi kubwa ya visitors at any cost. Jamii yetu ya kitanzania kwa uhumla inapenda sana kushadadia mambo ya ajabu. Angalia mafulliko ya magazeti ya udaku na habari zao!!!!!!!!!!!!
Big up uliye leta hili swala jamvini na kama tunajali na kuupenda utu wetu lazima tuyakemee haya kila maaala.
Kuna vitu vibaya unapo publicize ndo unavijenga zaidi. MoDs please take care of this.
Pia nashauri uwe msukumo mkubwa zaidi kwa vyombo vya habari za udaku pia viwe regulated.

Good Night membres..
 
najua kuna baadhi ya mambo,sio mazuri kujadiliwa,lakini hayo mambo yapo,na kuna baadhi ya watu,wanaona njia rahisi ni kuyaweka humu,kwani hakuna anaemuona mwenzie.kwa upande wangu,mambo mengi yamenishangaza humu,na mengine nimejifunza humu,ambapo nisingeweza kumuuliza ndugu yangu au rafiki yangu.mimi naamini kila binaadamu ana muonekano wake wa maisha,na maisha jinsi aliyokulia na malezi aliyolelewa
 
Sijui ni mimi tu au ndio watu wameanza kunogewa na mahusiano ya mapenzi ambayo tunaweza kuyaita si ya kawaida. Nimefuatilia threads nyingi kwa wiki kadhaa sasa na nimekuta zenye kuvutia sana ni ziile ambazo zina dalili ya mahusiano yasiyo ya kawaida. Yaani, watu wanakuja na stori mbalimbali za mahusiano ambayo yanakaribia kuvuka mpaka wa weird na kuwa sexual perversion.

Mara mtu kamtamani baba mkwe
Mara mama mkwe anakula chabo
Mara fulani kalala na dada wawili
Mara Kijana kalala na dada yake
Mara kaka kaota anachakachuana na dada zake
Mara baba kamnunulia chupi binti yake
n.k

Ninajiuliza hizi ni fantasy tu za incest au ni kweli sasa tumeanza kuvuka mpaka wa mahusiano ya kawaida kiasi kwamba ukiwaona dada na kaka wanatembea na kuchekeana unaanza kuhisa wanaumana na kutafunana; ukikuta baba anamkumbatia binti yake kwa ku-hug unafikiria labda usiku anachombezwa! Yawezekana kuna tatizo mahali fulani ambapo watu wanaanza kupoteza mipaka ya miiko ya kingono (sexual morality) na sasa imekuwa kile mtu anatamani au ni njozi tu za mapenzi watu wanaanza kukifanyia kweli. yaani, tunaanza kuvunja vunja mipaka yote ya kimapenzi na kile "mundu ave na vake"! hata kama huyo "wake" ni mtu wa miiko.

Labda ninachouliza kwa maneno machache, je miiko ya mapenzi ipo tena au ndio kula kulaana?

Vinginevyo itabidi tuwaombe ma MoDs waanzishe aidha mada ya watu wa mahusiano ya kawaida au watu wenye njozi za ajabu ajabu wajifungie humo ndani. I'm just saying. Wengine bado na uzee tunataka mambo ya boy meet girl, girl meet boy, boy's heart broken, girl cry.. just the old fashioned romance and love stories. And of course the old visa vya uswahilini!
ICHUKULIE KAMA NI SEHEMU YA KUJIONGEZEA MAARIF NA KUJUA DUNIA INAKOELEKEA.... NADHANI UNA PRINCIPLES ZAKO ZA KIMAHUSIANO... STICK TO THEM!!:love:
 
Sijui ni mimi tu au ndio watu wameanza kunogewa na mahusiano ya mapenzi ambayo tunaweza kuyaita si ya kawaida. Nimefuatilia threads nyingi kwa wiki kadhaa sasa na nimekuta zenye kuvutia sana ni ziile ambazo zina dalili ya mahusiano yasiyo ya kawaida. Yaani, watu wanakuja na stori mbalimbali za mahusiano ambayo yanakaribia kuvuka mpaka wa weird na kuwa sexual perversion.

Mara mtu kamtamani baba mkwe
Mara mama mkwe anakula chabo
Mara fulani kalala na dada wawili
Mara Kijana kalala na dada yake
Mara kaka kaota anachakachuana na dada zake
Mara baba kamnunulia chupi binti yake
n.k

Ninajiuliza hizi ni fantasy tu za incest au ni kweli sasa tumeanza kuvuka mpaka wa mahusiano ya kawaida kiasi kwamba ukiwaona dada na kaka wanatembea na kuchekeana unaanza kuhisa wanaumana na kutafunana; ukikuta baba anamkumbatia binti yake kwa ku-hug unafikiria labda usiku anachombezwa! Yawezekana kuna tatizo mahali fulani ambapo watu wanaanza kupoteza mipaka ya miiko ya kingono (sexual morality) na sasa imekuwa kile mtu anatamani au ni njozi tu za mapenzi watu wanaanza kukifanyia kweli. yaani, tunaanza kuvunja vunja mipaka yote ya kimapenzi na kile "mundu ave na vake"! hata kama huyo "wake" ni mtu wa miiko.

Labda ninachouliza kwa maneno machache, je miiko ya mapenzi ipo tena au ndio kula kulaana?

Vinginevyo itabidi tuwaombe ma MoDs waanzishe aidha mada ya watu wa mahusiano ya kawaida au watu wenye njozi za ajabu ajabu wajifungie humo ndani. I'm just saying. Wengine bado na uzee tunataka mambo ya boy meet girl, girl meet boy, boy's heart broken, girl cry.. just the old fashioned romance and love stories. And of course the old visa vya uswahilini!
ICHUKULIE KAMA NI SEHEMU YA KUJIONGEZEA MAARIF NA KUJUA DUNIA INAKOELEKEA.... NADHANI UNA PRINCIPLES ZAKO ZA KIMAHUSIANO... STICK TO THEM!!:love:...UKIJARIBU KUFANYIA ZOEZI UWALUWALU WA HUMU MMU..... UTAJUTA NAFSIYO..
 
Kuna wakati mtu unatamani hizi threds zigeuke email kwenye inbox yangu, ili nizisweke kwenye trashbin...
Kiujumla baadhi ya wadau wa jukwaa la MMU wanlina-over rate suala la ngono...
 
Kuna wakati mtu unatamani hizi threds zigeuke email kwenye inbox yangu, ili nizisweke kwenye trashbin...
Kiujumla baadhi ya wadau wa jukwaa la MMU wanlina-over rate suala la ngono...

...nakuunga mkono 99.9%. Kwa wanaofanya research kwanini mahusiano ya mapenzi na urafiki yanayumba kwa kizazi hiki, anaweza kuandika thesis ya kujitosheleza kabisa kulingana na seriousness na upeo wa mawazo wa wachangiaji wengi.

Imefikia kwamba, hata wale walio na hoja za nguvu, wana opt kusaidiana mawazo kwa PM badala ya kutafuta ushauri wa jumla na kuishia kujiudhi na 'cheap replies!'
Anyway, it's JF Where We Dare To Talk Openly!
 
Back
Top Bottom