mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 17,121
- 53,134
Ila matola bana😂Formula ya Bongo kujipata ni miaka 50 msidanganyike, kinyume cha hapo hayo ni majizi tu.
Vijana msikate tamaa, hakuna tajiri yoyote Africa ambaye ni self made millionaire ambaye yuko under 50, hakuna.
Sijazungumzia swala la familia, nazungumzia uhalisia wa kujipata Bongo ngoma inakwenda 50.
Cha Kwanza Bongo hakuna muendelezo kwenye kumiliki uchumi, ndio maana si ajabu kukuta mtu ambaye 2015 alikuwa njema lakini Leo 2024 kachoka Vibaya hali mbaya na biashara zote zimekwenda kombo.
Ni swala la kujitunza Kwa kuzingatia mitindo bora ya Maisha KamaNi kweli kabisa
Ila linapokuja suala la kazi na kuajiriwa umri ni kigezo muhimu sana ili uajiriwe.
Umri utakaoutaja lazima waajiri waulinganishe na Physical appearance yako.
Kuliko vyeti ambavyo unaweza kuchakachua
Hahah😂😂😂Great thinkers ndio hawa sasa 🥲
Ni swala la kujitunza Kwa kuzingatia mitindo bora ya Maisha Kama
Kula nutrition
Kufanya maozezi
Na kupata muda wa kupumzika.
Kupunguza pombe au kutotumia kabisa na kutoendekeza NGO no n.k
Kipara kikija au mvi bado utaendelea kuwa energetic tu.
Sasa now days vijana they are too drunker , sex , na kula wanakula Kwa mashaka hivyo ikitokea akapata mvi anaonekana amezeeka kweli kum be sio.
Mfano wewe mtibeli hata ukapata upara na Mvi bado utaendelea kuonekana kijana kutokana na lifestyle yako unayoishi.
View attachment 2889503
Kutoboa maisha hakuna umri rasmi. Incase u did'nt know.
Nimesoma mada, nimesoma comments......mpaka nimesahau mnajadili nn hapa
Nyie jadilianeniJadilini ulichoelewa usijadili uelewa wa wengine.
Ni kweli Mkuu.
Ishu ni kuwa kundi kubwa la vijana hawawezi kuwa na lifestyle kama yangu kwa sababu wanashindwa kujizuia na vitu vitamu na kutàka kuvutia Watu wengine.
Kwa mfano kijana mdogo hata miaka 30 hana anahangaika kuweka nywele kokoto na kemikali. Kisa anapata miambili miatatu, kumbuka bado hajajipata. Anapata madudw usoni mara scrub Kwa sana.
Siku akifulia ndio mambo huwa Mabaya.
Yes
Kweli Kujizuia vitu vitamu inaweza kuwa ngumu Ila faida zake ni kubwa Sana
Kuna braza bro mmoja wa kitaa yupo kwenye miaka 37 ila kajaa mvi kinoma kichwani na kwenye ndevu hadi nimeogopa kumbe uzee ni mapema hivyo kabla hata hujafika 40?
Na pia stress, lishe mbovu na kukosa muda wa kupumzika unafanya mvi au kipara kitokee mapema.Kanuni za Afrika ni ngumu sana Mkuu.
Kuajiriwa tuu Watu wanaangalia vitu vingi ikiwemo Physical appearance ya MTU.
Hata kwenda kuchumbia ni vivyohivyo.
Ni kweli Upara na mvi ni ishu ya kijenetiki lakini huwezi kuvitenganisha na kuzeeka.
Kipara na Mvi ni sehemu ya uzee.
Kumbe sis tuliopata watoto tukiwa kidato cha tatu tumeshajipataNi kweli na ndipo hapo wale waliopata familia mapema na watoto uzeeni hawajutii ukilinganisha na waliochelewa.
Tafuta Watu hapa Bongo waliochelewa Kupata watoto na Wana umri mkubwa watakuambia nini wanapitia.
Unafanya hao yote unagongwa na boda boda una kuwa kiweteNi swala la kujitunza Kwa kuzingatia mitindo bora ya Maisha Kama
Kula nutrition
Kufanya maozezi
Na kupata muda wa kupumzika.
Kupunguza pombe au kutotumia kabisa na kutoendekeza NGO no n.k
Kipara kikija au mvi bado utaendelea kuwa energetic tu.
Sasa now days vijana they are too drunker , sex , na kula wanakula Kwa mashaka hivyo ikitokea akapata mvi anaonekana amezeeka kweli kum be sio.
Mfano wewe mtibeli hata ukapata upara na Mvi bado utaendelea kuonekana kijana kutokana na lifestyle yako unayoishi.
Na pia stress, lishe mbovu na kukosa muda wa kupumzika unafanya mvi au kipara kitokee.