FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,811
- 46,933
Hiyo bilioni 2 hata helicopter tu hupati, itakuwa private jet?
hapa ndo hua nawanyooshea mikono watanzania
Helicopter Zipo mkuu zinauzwa USD 300,000 ndo the cheapest inabeba watu wawili ila mrusi mwaka kesho anaanza uza zake ambazo zitakuwa USD 150,0000.Hata helicopter ya kawaida hupati kwa vibilioni viwili, itakuwa hiyo Gulf stream!
Kwani helicopter bei gani na jet bei gani, huenda ikawa used maana hata gari ya mwaka 1998 inaweza ikauzwa 1,700 USD wakati gari hiyo hiyo ila ya mwaka 1994 ama 1998 ikauzwa 9335 USD though nahisi kwenye ndege huenda taratibu za manunuzi ni tofauti na tulivyozoeaHiyo bilioni 2 hata helicopter tu hupati, itakuwa private jet?
Mpaka serikali ishatoa tamko wakati habari ziko tu kwenye mitandao na hawajasikia neno lolote la Gwajimahapa ndo hua nawanyooshea mikono watanzania
Ndio, tengeneza songi kali kisha waache tigo waingie mkenge kisha wapeleke mahakamani!Kwa hiyo ni rahisi kupata bilioni mbili! Watu mna matambo!
Typical akili za kimasikini.Ama ni mkweche wa kufa mtu,... ukipanda hiyo ndege uvae parachuti tayari kuruka wakari wowote, au ni mbinu ya mnunuaji kupunguza kiwango cha hela ili kuepuka kodi au lawama (criticisms) kutoka kwa watu. Ndege kama inayotajwa kanunua Gwajima ni angalau billioni 15 tena hii si ya kisasa. Angalia baadhi hapa Private Jets for Sale | AvBuyer
hawajaliona ilo mambo ya kufikiri nje ya boxMmmhh je kama amepewa punguzo la bei kwa ajili ni Mtumishi Wa mungu......
Wewen hata wale wezi wa makinikia utasema ni wivu waache wale tu, iba na wewe!!!Typical akili za kimasikini.
Fanya kazi ununue ya kwako. Acha majungu.
Ningejali kama Gwajima angekuwa kiongozi au mtumishi wa uma au serikali. Ningeweza kuhoji matumizi ya kodi yangu.Wewen hata wale wezi wa makinikia utasema ni wivu waache wale tu, iba na wewe!!!
- acha tabia ya kutojali
- acha kufanya mambo bila ya kufikiri vizuri
- unaangalia mwisho wa mambo bila kuangalia mchakato wa kufikia mambo hayo, hawa ni watu kama akina Hitler, Machiavelli nk\
- wewe ni mtu wa ponda mali kufa kwaja
- angalia kama siyo kweli kwenye maisha yako; wewe hufanyi saving ndiyo maana benki una kiasi kidogo sana, na kila mwisho wa mwezi ndio mwisho wa akiba yako
- jirekebishe ndugu yangu
Hawajaonaahawajaliona ilo mambo ya kufikiri nje ya box
sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
Ama ni mkweche wa kufa mtu,... ukipanda hiyo ndege uvae parachuti tayari kuruka wakari wowote, au ni mbinu ya mnunuaji kupunguza kiwango cha hela ili kuepuka kodi au lawama (criticisms) kutoka kwa watu. Ndege kama inayotajwa kanunua Gwajima ni angalau billioni 15 tena hii si ya kisasa. Angalia baadhi hapa Private Jets for Sale | AvBuyer
Hapana...Bilion mbili kwako kama chenji ya mwendo kasi eh?[emoji57]