Hakuna jet ya kifahari ya billioni 2.4! Ni hivi...

Hakuna jet ya kifahari ya billioni 2.4! Ni hivi...

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
17,919
Reaction score
24,752
Ama ni mkweche wa kufa mtu,... ukipanda hiyo ndege uvae parachuti tayari kuruka wakari wowote, au ni mbinu ya mnunuaji kupunguza kiwango cha hela ili kuepuka kodi au lawama (criticisms) kutoka kwa watu. Ndege kama inayotajwa kanunua Gwajima ni angalau billioni 15 tena hii si ya kisasa. Angalia baadhi hapa Private Jets for Sale | AvBuyer
 
hapa ndo hua nawanyooshea mikono watanzania
 
Ama ni mkweche wa kufa mtu,... ukipanda hiyo ndege uvae parachuti tayari kuruka wakari wowote, au ni mbinu ya mnunuaji kupunguza kiwango cha hela ili kuepuka kodi au lawama (criticisms) kutoka kwa watu. Ndege kama inayotajwa kanunua Gwajima ni angalau billioni 15 tena hii si ya kisasa. Angalia baadhi hapa Private Jets for Sale | AvBuyer
Wewe bei umeipata kutoka Kwa mnunuzi au mnunuaji au udaku wa mitandaoni?Ebu tuwekee ushaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom