Ama ni mkweche wa kufa mtu,... ukipanda hiyo ndege uvae parachuti tayari kuruka wakari wowote, au ni mbinu ya mnunuaji kupunguza kiwango cha hela ili kuepuka kodi au lawama (criticisms) kutoka kwa watu. Ndege kama inayotajwa kanunua Gwajima ni angalau billioni 15 tena hii si ya kisasa. Angalia baadhi hapa Private Jets for Sale | AvBuyer