Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,162
- 162,594
Huu ugomvi unaotaka kuanzisha hutauweza.basi tuweke magufuli day
Huu ugomvi unaotaka kuanzisha hutauweza.basi tuweke magufuli day
Burudani ya JF. Hata bata anatoa maoni yake.Hakuna sababu ya msingi.
Rais Nyerere hafai kukumbukwa kwa lolote
Ukisema kaleta Uhuru kasome makala za Mohammed said utaelewa kazi ya viongozi wa TAA juu ya Uhuru na kazi ya Nyerere.
Nani alimruhusu kusema nchi haina dini halafu akatupa wimbo wa taifa tumuombe Mungu. Nani alimruhusu kuwa tunataka ujamaa? Alifanya referendum wapi? Nani alimruhusu kutaifusha Mali za watu,viwanda,viwanja,mashule,vyuo,nk? Nani alimruhusu kukusanya watu kwenye vijiji na maroli huku wakiwa chini ulinzi kwa waliopinga.
Nani alimruhusu kuua demokrasia na kupiga marufuku vyama vingi?
Serikali yake ikajaa umangimeza, hakuna wakuihoji, zikadumu fikra za mwenyekiti kwa mdamrefu, nan alimruhusu?
Akatumia rasilimali na fedha za chi kukomboa bara zima la Afrika bila kuweka mkataba kuwa fedha zile sio zake Bali za wananchi kwa hiyo wakipita Uhuru wao wazirudishe matokeo yake hata South Africa tuliowasaidia wenyeji hawataki wahamiaji na wanawaua, je rasilimali zetu zilizowanufaisha sisi tumenufaika na nini?
Nina mengi sana lakini ngoja niachie hapa, sasa najiuliza Nyerere tunamkumbuka kwa lipi hata tuweke eti Nyerere day?
Tafakari
Icons of Africa;
Nelson Mandela
Kwame Nkurumah
Julius Kambarage Nyerere
Mtu 1 kat ya 4 anakichaaaSiyo bure, yaani kwa ujinga ulioandika hapa, lazima utakuwa na matatizo makubwa sana kwenye akili yako.
Pole.Rais Nyerere hafai kukumbukwa kwa lolote
Ukisema kaleta Uhuru kasome makala za Mohammed said utaelewa kazi ya viongozi wa TAA juu ya Uhuru na kazi ya Nyerere.
Nani alimruhusu kusema nchi haina dini halafu akatupa wimbo wa taifa tumuombe Mungu. Nani alimruhusu kuwa tunataka ujamaa? Alifanya referendum wapi? Nani alimruhusu kutaifusha Mali za watu,viwanda,viwanja,mashule,vyuo,nk? Nani alimruhusu kukusanya watu kwenye vijiji na maroli huku wakiwa chini ulinzi kwa waliopinga.
Nani alimruhusu kuua demokrasia na kupiga marufuku vyama vingi?
Serikali yake ikajaa umangimeza, hakuna wakuihoji, zikadumu fikra za mwenyekiti kwa mdamrefu, nan alimruhusu?
Akatumia rasilimali na fedha za chi kukomboa bara zima la Afrika bila kuweka mkataba kuwa fedha zile sio zake Bali za wananchi kwa hiyo wakipita Uhuru wao wazirudishe matokeo yake hata South Africa tuliowasaidia wenyeji hawataki wahamiaji na wanawaua, je rasilimali zetu zilizowanufaisha sisi tumenufaika na nini?
Nina mengi sana lakini ngoja niachie hapa, sasa najiuliza Nyerere tunamkumbuka kwa lipi hata tuweke eti Nyerere day?
Tafakari
kwa wale tulio anza kupata ufahamu miaka ya83-84 tunakumbuka hata kula unga wa njano almaarufu yanga na kunywa chai ya pipi na kufulia harita viatu vta matairi almaarufu masaka nyoka.pia ukombozi kusini mwa afrika,tuta mkumbuka kwa kuhimiza umoja wa kitaifa n.k n.kRais Nyerere hafai kukumbukwa kwa lolote
Ukisema kaleta Uhuru kasome makala za Mohammed said utaelewa kazi ya viongozi wa TAA juu ya Uhuru na kazi ya Nyerere.
Nani alimruhusu kusema nchi haina dini halafu akatupa wimbo wa taifa tumuombe Mungu. Nani alimruhusu kuwa tunataka ujamaa? Alifanya referendum wapi? Nani alimruhusu kutaifusha Mali za watu,viwanda,viwanja,mashule,vyuo,nk? Nani alimruhusu kukusanya watu kwenye vijiji na maroli huku wakiwa chini ulinzi kwa waliopinga.
Nani alimruhusu kuua demokrasia na kupiga marufuku vyama vingi?
Serikali yake ikajaa umangimeza, hakuna wakuihoji, zikadumu fikra za mwenyekiti kwa mdamrefu, nan alimruhusu?
Akatumia rasilimali na fedha za chi kukomboa bara zima la Afrika bila kuweka mkataba kuwa fedha zile sio zake Bali za wananchi kwa hiyo wakipita Uhuru wao wazirudishe matokeo yake hata South Africa tuliowasaidia wenyeji hawataki wahamiaji na wanawaua, je rasilimali zetu zilizowanufaisha sisi tumenufaika na nini?
Nina mengi sana lakini ngoja niachie hapa, sasa najiuliza Nyerere tunamkumbuka kwa lipi hata tuweke eti Nyerere day?
Tafakari
Hebu tukumbushe. Wakati wa Nyerere tulikuwa tunapumzika mara ngapi katika maana mmoja? Anza na January 1, Siku kuu ya kuzaliwa CCM, pasaka ina siku 2 za mapumziko, Medi Mosi, saba saba, siku 2 za Idd Elfitri, n.k. kama Nyerere alishindwa kuzuia tusipumzike kwenye misiku yote hiyo kwa nini tusipumzike katika siku yake ya kumbukumbu?Nyerere day inaweza kuwepo, lakini napinga kuifanya kuwa ni siku ya mapumziko!
Wakati tukiifanya hii siku kuwa ya mapumziko tujiulize, je Nyerere mwenyewe angekubaliana na dhana ya kutokufanya kazi ili kumkumbuka yeye?.
Kama kuwaadhimisha watu basi watu shurti wapumzike mbona basi wakati wa Mwalimu Nyerere akiwa madarakani hajawahi kuweka Karume day ili kumuadhimisha muasisi mwenzie wa Muungano?
Tunaweza kuiadhimisha Nyerere day kwa kuchapa kazi zaidi, makongamano ya kisomi n. k
Akuombee nini? Baada ya Kifo ni HUKUMU, sio KUOMBEANA"Mwenyeheri Julias Nyerere Utuombee"!
Mwalimu aliweka misingi, ile misingi hakuwa Misahafu, wa kuibadilisha ni sisi wananchi. Unamlaumu Nyerere aliyekufa 99 wakati mwaka Jana tu umeichagua CCM inayoukumbatia muungano huo huo usioutaka? Be fair to Mwalimuhana llte zaidi ya kutuachia nchi mbovu inayoitwa jamhuri ya muungano ni kiini macho tu!
Jazakallah Kheir. Alama alizoacha Nyerere uwe unazipenda au huzipendi, itaendelea kuishi miaka mingi ijayo. Pole yao wote wanaokereka na kuumia pindi wasikiapo jina la Julia's NyerereWell, nijuavyo jina sahihi ni Nyerere Death Day.
Sioni sababu ya kutosherehekea siku ya kifo cha Nyerere kama kilivyowekwa rasmi kitaifa.
Rais Nyerere hafai kukumbukwa kwa lolote
Ukisema kaleta Uhuru kasome makala za Mohammed said utaelewa kazi ya viongozi wa TAA juu ya Uhuru na kazi ya Nyerere.
Nani alimruhusu kusema nchi haina dini halafu akatupa wimbo wa taifa tumuombe Mungu. Nani alimruhusu kuwa tunataka ujamaa? Alifanya referendum wapi? Nani alimruhusu kutaifusha Mali za watu,viwanda,viwanja,mashule,vyuo,nk? Nani alimruhusu kukusanya watu kwenye vijiji na maroli huku wakiwa chini ulinzi kwa waliopinga.
Nani alimruhusu kuua demokrasia na kupiga marufuku vyama vingi?
Serikali yake ikajaa umangimeza, hakuna wakuihoji, zikadumu fikra za mwenyekiti kwa mdamrefu, nan alimruhusu?
Akatumia rasilimali na fedha za chi kukomboa bara zima la Afrika bila kuweka mkataba kuwa fedha zile sio zake Bali za wananchi kwa hiyo wakipita Uhuru wao wazirudishe matokeo yake hata South Africa tuliowasaidia wenyeji hawataki wahamiaji na wanawaua, je rasilimali zetu zilizowanufaisha sisi tumenufaika na nini?
Nina mengi sana lakini ngoja niachie hapa, sasa najiuliza Nyerere tunamkumbuka kwa lipi hata tuweke eti Nyerere day?
Tafakari
wewe na watu wako hao sita poleni sana. na ni ninyi ndio mnaotumiwa na mtu amabe namfahamu vixuri sana kupolute image ya mwalimu nyerere. lakini mtashindwa tu pamoja na kutumia nguvu nyingi kupita kiasi.Rais Nyerere hafai kukumbukwa kwa lolote
Ukisema kaleta Uhuru kasome makala za Mohammed said utaelewa kazi ya viongozi wa TAA juu ya Uhuru na kazi ya Nyerere.
Nani alimruhusu kusema nchi haina dini halafu akatupa wimbo wa taifa tumuombe Mungu. Nani alimruhusu kuwa tunataka ujamaa? Alifanya referendum wapi? Nani alimruhusu kutaifusha Mali za watu,viwanda,viwanja,mashule,vyuo,nk? Nani alimruhusu kukusanya watu kwenye vijiji na maroli huku wakiwa chini ulinzi kwa waliopinga.
Nani alimruhusu kuua demokrasia na kupiga marufuku vyama vingi?
Serikali yake ikajaa umangimeza, hakuna wakuihoji, zikadumu fikra za mwenyekiti kwa mdamrefu, nan alimruhusu?
Akatumia rasilimali na fedha za chi kukomboa bara zima la Afrika bila kuweka mkataba kuwa fedha zile sio zake Bali za wananchi kwa hiyo wakipita Uhuru wao wazirudishe matokeo yake hata South Africa tuliowasaidia wenyeji hawataki wahamiaji na wanawaua, je rasilimali zetu zilizowanufaisha sisi tumenufaika na nini?
Nina mengi sana lakini ngoja niachie hapa, sasa najiuliza Nyerere tunamkumbuka kwa lipi hata tuweke eti Nyerere day?
Tafakari
Bado unaugua gonjwa la post election syndromeHakuna sababu ya msingi.