Mama Mdogo wee Matata sana, mimi lazima nifike huko Katavi
Hiyo Kasanga Tumbo, inaelekea ku'basti' au ndivyo ilivyo?
Mama mdogo ​samahani, huyo mdogo wako ana mchumba?Karibu sana kaka, nitamtuma mdogo wangu (picha imeaambatanishwa) aje akupokee atakuleta home. Kumbuka kuja kwetu ni safari ya siku tatu kwa barabara, yaani Dar-Mbeya (siku moja), Mbeya -Sumbawanga (siku moja) na Sumbawanga - Mpanda - Kijijini beach ya ziwa Tanganyika (siku moja).
View attachment 82201
Mama mdogo ​samahani, huyo mdogo wako ana mchumba?
Duu, sasa mbuzi mzee anakuja kwa ajili ya nini, asije akanizidi kete, hebu tengua safari ya huyu jamaa kusudi nije peke yangu nijihakikishie ushindi.Mbona wataka mambo fasta fasta, wewe andamana na Mbuzi Mzee, au uje kivyako, na majibu utayakuta huku huku home.
Duu, sasa mbuzi mzee anakuja kwa ajili ya nini, asije akanizidi kete, hebu tengua safari ya huyu jamaa kusudi nije peke yangu nijihakikishie ushindi.
Nimeupenda huo wa pink.......naenda kushona.......
Siji tena huko katavi nimeghaili, maanake ntakuja kutia aibu, hao wadogo zako nitang'ang'ania niwachukue wote.Mmmhhhh, Mbuzi Mzee alinieleza kuwa "Mama Mdogo wee Matata sana, mimi lazima nifike huko Katavi", baadaye kidogo nawe ukaniuliza "Mama mdogo ​samahani, huyo mdogo wako ana mchumba?". Nami nikakuambia mtafute Mbuzi Mzee mje wote au uje kivyako. Hivyo wewe njoo kivyako hata kesho mdogo wangu niliyemtaja hapo juu au huyu mwingine hapa chini atakupokea kwani wana JF wote ni ndugu zangu!!! Kazi ni Kwako!!!
View attachment 82211
Wakubwa wanafaidi jamani!
huyu kaacha mimba nje ahh kumbe ni kitambiHapo chacha..!!!