Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
Basi sema wewe ni nini maana ya kivuli. Ninavyojua hata mimi kivuli ni kitu kisichokuwa halisi. Tena huwa hakiwezi kutokea mpaka kuwe na jua. Kwahiyo hapo CCM ndiyo jua halafu inamulika vivuli kama CHADEMA navyo vinatokea.
aa UMESIKIA POSHO TAYARI NDO UNAAMKA MURA. MUDA WOOOTE URIKUWA UMERARA.