Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,266
Nilijua spika wenu ataahirisha bunge kabla ya muda mara baada ya Muhongo kujikanganya mwishoni, na ndivyo ilivyotokea,ilikuwa bado 30 hadi 40 hivi,
kiti kilikuwa cha moto hadi nilimuonea huruma...
ila nimeamini maneno ya Yeriko ndugai angeangusha rekali mapema mno kama angeachwa na mafisadi wangekoma!!