Hakuna atakayeachia ngazi sakata la Escrow

Status
Not open for further replies.
Uungwana ni kukiri unapokosea.... Mpaka sasa kadhaa wameshaachia nazi na on top of that mawaziri wamepangwa upya....

Nisome tena:

"Baada ya kusikiliza ripoti rasmi ya PAC iliyowasilishwa na Zitto Kabwe na Deo Filikunjombe nnadiriki kusema kuwa hakuna cha maana kwenye ripoti yao cha kuwafanya mawaziri kuwachia ngazi."

Sasa nakuuliza hiyo ripoti ilitaka Waziri Mkuu aachie Ngazi, au mmesahau? Kiko wapi?

Na hata maazimio yaliyopelekwa kwa Rais hayakuwa ya akina Zitto na kamati yake au ni wafupi wa kumbukumbu?

Huwa sikisii.
 
Nisome tena:

"Baada ya kusikiliza ripoti rasmi ya PAC iliyowasilishwa na Zitto Kabwe na Deo Filikunjombe nnadiriki kusema kuwa hakuna cha maana kwenye ripoti yao cha kuwafanya mawaziri kuwachia ngazi."

Sasa nakuuliza hiyo ripoti ilitaka Waziri Mkuu aachie Ngazi, au mmesahau? Kiko wapi?

Na hata maazimio yaliyopelekwa kwa Rais hayakuwa ya akina Zitto na kamati yake au ni wafupi wa kumbukumbu?

Huwa sikisii.


wewe bibi, wakati mwengine kukaa kimya ni bora kuliko kubwabwaja. Hujifunzi?
 
Naam, sasa soma vizuri ni ripoti ya nani hiyo?

"Baada ya kusikiliza ripoti rasmi ya PAC iliyowasilishwa na Zitto Kabwe na Deo Filikunjombe nnadiriki kusema kuwa hakuna cha maana kwenye ripoti yao cha kuwafanya mawaziri kuwachia ngazi."

Wacha ripoti, hata maazimio yao yalikuwa hayana mshiko yaatupiliwa mbali na ikaundwa kamati nyingie ya binge ya haraka kutoa maazimio na Mwenyekiti akawa Anne Kilango. Mmesahau?

Hiyo ripoti ya kiza Zitto si ilisema Waziri Mkuu aachie ngazi?

Na maazimio yaliyoenda kwa Kikwete ni ya nani?

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?

We nyoko mbona mbishi www kibibi?, ubakera sana yan kama kimalaya fulan hvi unabisha bisha tu hata kwenye ukwel bwana...aaaha liwalo na liwe we no malaya
 
Jamani wana jamvi punguzeni munkari wa kumshambulia mama yetu, ukweli upo wazi, haina haja ya kumshambulia kwa maneno mengi, uzuri ni kwamba ff anajulikana ni mtu wa namna gani, ni miongoni mwa watu wanaoamini katika falsafa ya BISHA HATA KAMA NI KWELI. Kwake yeye ccm wote ni watakatifu.

hahahahaaha umeuaaaaaa
 
wewe bibi, wakati mwengine kukaa kimya ni bora kuliko kubwabwaja. Hujifunzi?

Kukaa kimya? Unanchekesha!

Jinsi nilivyoandika ndivyo jinsi ilivyokuwa, nisome tena, kumbuka hayo niliyaandika baada ya kuisikia tu ripoti ya Zitto:

"Nnashauri, wajadili hili suala bungeni lakini shauri liwachwe kesi kumi zilizopo mahakamani zinazoihusu IPTL zikamilike."

Naam, na kweli wakalishauri wakaona maazimio yote ya akina Zitto hayafai, ikaundwa kamati, wakapeleka maazimio mapya kabisa baada ya kushauriana. Jee. mmesahau?

Isitoshe, nilisema hakuna "Mawaziri wataoacha ngazi" kwa ripoti ya Zitto. Sasa nyinyi nambieni mawaziri walioachia ngazi ni akina nani waliotajwa na ripoti ya Zitto? Waziri Mkuu kaachia ngazi? Naibu waziri wa Nishati kaachia ngazi?

Hebu rudi juu post namba moja ukanisome kwa utuvu, utafaidika badala ya kukurupuka.

Aliyeachia ni Mhongo peke yake na kwa sababu nzuri kabisa.

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
 
Siasa haina formula...ni upepo unaweza kubadili mwelekeo mda wowote..ukiwa ns tabia ya kibri na kupuuza mambo ujipange kukabiliana na ukinzani pindi upepo ugeukapo.

mamaa Faiza komaa lakini kuwa makini.
 
Baada ya kusikiliza ripoti rasmi ya PAC iliyowasilishwa na Zitto Kabwe na Deo Filikunjombe nnadiriki kusema kuwa hakuna cha maana kwenye ripoti yao cha kuwafanya mawaziri kuwachia ngazi.

Ni drama tu lakini hakuna kipengele chochote cha sheria ambacho hakijibiki au kilichooneshwa kuwa kimekiukwa.

Hukumu ya Mahakama ni ya halali na haina utata na Zitto wala CAG wala TAKUKURU hawajaonesha kuwa ilikuwa ni batili au ya kughushi.

Zitto kapiga porojo nyingi sana kuliko ukweli, na mwanasheria yoyote mahiri anazisambaratisha hoja zake zote ndani ya nusu saa.

Zitto ametetea sana BoT lakini alichoshindwa kuelewa ni kuwa Bot kama wakala ndiye alitakiwa aridhike na vielelezo vyote kabla hajalipa na kama havijakamilika hawezi kutoa fedha. Zitto anasema eti Mwanasheria Mkuu wa Serikali ndiye alimuamuru Gavana hizo fedha zitolewe, toka lini Gavana wa benki anatoa fedha kwa amri ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali?

Utata wa IPTL na Standard Chartered ni huko-huko kwao si IPTL iliyokopa, iliyokopa ni Mechmar na Mechmar haiwezi jitokeza kwani imeshafilisika kisheria, Standard Chartered karata yao ya mwisho ni hii na hapa wamepata mwanya.

Nnasikitika kusema na nnaliona linakuja la Serikali kuingia gharama kubwa ya kulipa zaidi ya mara mbili au tatu hizi fedha ikiwa watafata akili za akina Zitto.

Nnashauri, wajadili hili suala bungeni lakini shauri liwachwe kesi kumi zilizopo mahakamani zinazoihusu IPTL zikamilike.

Mapendekezo ya Zitto ya watu kuachia nyadhifa zao ni ya kishabiki na hayana mshiko, watu hawaachii tu nyadhifa zao kwa habari kama hizi ambazo hazina mshiko wa kisheria.

Isitoshe, fedha zilizolipwa escrow si kamili, hizo zilizobaki zilizuiliwa kwanini? Jibu tutalipata kesho na ndilo litakalosambaratisha hoja ya kodi ya Zitto.

Kuna mengi sana ya kuchambua lakini tusubiri kesho, tusiandikie mate na wino upo. Ni matumaini yangu kuwa wote waliotajwa watapewa fursa ya kujibu. Na hapo ndipo mtamjuwa Chenge ni kichwa.


NAOMBA kumuuliza Faiza Foxy, je anaweza kukanusha habari yake aliyoirusha humu ndani kuwa Sakata la Escrow hakuna atakaye jiuzuru? naomba kuwasilisha
 
Mhongo sijaliona kosa lake hata kiduchu. Na sababu zake za kujiudhuru nimezikubali na zina maana na ni uamuzi mzuri.

Uone kosa ili iweje kwanza!? Toka lini kipofu akaona ghafla? Wewe ni kipofu, then unataka uone. Labda kwa muujiza, wewe si ndie uliesema hakuna atakaejiuzulu?! Hao waliojiuzulu ni tumbili au wezi!? Huna maana wewe takataka, unatumika na hujitambui hata kidogo!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom