Punguza unafki.Kujifariji.Hivi tuseme ukweli maandamano yetu Tanzania ni shaghala bagala.Wanaopush wote wapo nje ya nchi.Kikawaida wanaopush wanatakiwa wawe mstari wa mbele,on the field.
Yaliopota hawakuepo piaKujifariji.Hivi tuseme ukweli maandamano yetu Tanzania ni shaghala bagala.Wanaopush wote wapo nje ya nchi.Kikawaida wanaopush wanatakiwa wawe mstari wa mbele,on the field.
Shida ni kwamba mnawateka,mnawaua mnafila na kuwatesa hii ndio maana wanaishi uchochoroniKujifariji.Hivi tuseme ukweli maandamano yetu Tanzania ni shaghala bagala.Wanaopush wote wapo nje ya nchi.Kikawaida wanaopush wanatakiwa wawe mstari wa mbele,on the field.
Ngoja kuchweVile vile huu ni ushindi, ni hatua 100 mbele!
Shundu unalo bro anakufaidi aiseee, tafadhali shemu usitoke maandamano tunafanyia humu humu jf na twitter/twiraNipo jf nafatilia mada alaf baadae kitaaa.. Baada ya makojoziii
View attachment 3513333
Iko wazi kabisa kwa nini wako nje ya nchi. Taifa ambalo hata kuwakosoa tu watawala unabambikwa makesi ya kijinga wanaopush maandamano watakuwaje salama wakiwa ndani ya nchi?!Kujifariji.Hivi tuseme ukweli maandamano yetu Tanzania ni shaghala bagala.Wanaopush wote wapo nje ya nchi.Kikawaida wanaopush wanatakiwa wawe mstari wa mbele,on the field.
Wauwawe watekwe? Ndio furaha yenuKujifariji.Hivi tuseme ukweli maandamano yetu Tanzania ni shaghala bagala.Wanaopush wote wapo nje ya nchi.Kikawaida wanaopush wanatakiwa wawe mstari wa mbele,on the field.
Kujifariji.Hivi tuseme ukweli maandamano yetu Tanzania ni shaghala bagala.Wanaopush wote wapo nje ya nchi.Kikawaida wanaopush wanatakiwa wawe mstari wa mbele,on the field.
Siyo kweli.Wanaopush wote wapo nje ya nchi.Kikawaida wanaopush wanatakiwa wawe mstari wa mbele,on the field.
Kujifariji.Hivi tuseme ukweli maandamano yetu Tanzania ni shaghala bagala.Wanaopush wote wapo nje ya nchi.Kikawaida wanaopush wanatakiwa wawe mstari wa mbele,on the field.
Wamezificha...!!!Vile vile huu ni ushindi, ni hatua 100 mbele!
UdhalilishajiNipo jf nafatilia mada alaf baadae kitaaa.. Baada ya makojoziii
View attachment 3513333
Wanaoshawishi vurugu hizo wao wanajali sana maisa yao hawataki kuchubuka hata kidole wengine wamekimbilia kenya ili kuhakikisha hawapati hata mkwaruzo wa mwiba,, sahivi wameagiza popcorn wanaangalia updates mitandaoni kuona nyumbu wanazozituma kama zimetoka au laaKujifariji.Hivi tuseme ukweli maandamano yetu Tanzania ni shaghala bagala.Wanaopush wote wapo nje ya nchi.Kikawaida wanaopush wanatakiwa wawe mstari wa mbele,on the field.
Nimetoka na hotpot kama napeleka chakula cha mgonjwa hospitali. Kitu cha kwanza ni weka mzigo chini, toa kitambulisho. Wamenikagua mifukoni sana na mgongoni. Hawa kwa jinsi walivyo na silaha ni sisi kupata silaha pia. Na haya maandamano hata kesho inabidi tusisitize yapo. Yaani lockdown iwe ya muda mrefu. Hapo kila mmoja atasikia maumivu yake.Kujifariji.Hivi tuseme ukweli maandamano yetu Tanzania ni shaghala bagala.Wanaopush wote wapo nje ya nchi.Kikawaida wanaopush wanatakiwa wawe mstari wa mbele,on the field.
Pia maandamano ya siku ÿa mapumziko lazima ya feli tuKujifariji.Hivi tuseme ukweli maandamano yetu Tanzania ni shaghala bagala.Wanaopush wote wapo nje ya nchi.Kikawaida wanaopush wanatakiwa wawe mstari wa mbele,on the field.