Hakuna askari aliyebeba Bunduki!

Hakuna askari aliyebeba Bunduki!

vijana msikubali kutumika kwa kulishwa maneno ya kulichukia taifa lenu na wazee walio kengeuka kwa kushawishiwa kuingia kwenya manachafuko yasio na ulazima wowote
 
Pole sana, hujui hata umuhimu wa tawi,na unaamini watz wote wapo mitandaoni
Nasema hivi, tawi ilikuwa ni mambo ya kizamani. Kwa sasa watu wapo busy wanapata taarifa kwa njia za kisasa. Wazee ndio mtabaki nao na hayo matawi. Na ukitaka kuamini kuwa mko nje ya muda, subiri uchaguzi wa heshima uje, ndio utajua hamkukosea kuwa mnapora uchaguzi, maana dunia ilishabadilika nyie mkabaki na mbinu outdated. Kama hata kuvaa sare za ccm kwa mtiti wa siku 3 tu hamthubutu, hayo matawi yana kazi gani?
 
Nasema hivi, tawi ilikuwa ni mambo ya kizamani. Kwa sasa watu wapo busy wanapata taarifa kwa njia za kisasa. Wazee ndio mtabaki nao na hayo matawi. Na ukitaka kuamini kuwa mko nje ya muda, subiri uchaguzi wa heshima uje, ndio utajua hamkukosea kuwa mnapora uchaguzi, maana dunia ilishabadilika nyie mkabaki na mbinu outdated. Kama hata kuvaa sare za ccm kwa mtiti wa siku 3 tu hamthubutu, hayo matawi yana kazi gani?
Na hiyo ndiyo sababu hamtoitoa CCM,kuna kundi kubwa mijini na vijijini hawana smart phone
 
Mimi nilishasema siwezi andamana.Ninaishi vizuri.Watoto wangu wapo shule nzuri. Ninafanya kazi.Siwezi pushiwa na Mange au Maria.Maria hana watoto,Mange hana wazazi,kazi hana anamtegemea mme wake.Sasa mimi ambae ndo mboni ya familia nikaandamane for what. Afterall nipo vizuri tu.Millenian mimi nilizaliwa kipindi amabcho ukimaliza chuo kikuu kazi kumwaga kabisa.
Dah kama hii ndio point ya kutoandamana badi wewe mi punguani wa muda mrefu humu Jf.. bora useme tu siandamani sababu sina interest na siasa ila huandamani sababu unajiweza kiuchumi ...unajua Oct 29 kuna watu wanapesa za kutosha waliuliwa majumbani na hawakuandamana. Hela zako hazina chochote cha kufanya pale unapokaa kwenye target ya watesi.. wewe ni swali nyikani sema predator hajakuweka on sight siku ukiguswa hutaona hela zako na watoto wako wanaosoma vizur wakikusaidia.
 
Chadema kipo tangu 1992,ni TAL ndiye aliyeiongoza chadema kususia uchaguzi
TAL hawezi achiwa,ana kesi ya kujibu

Kosa lake ni kuizuia CHADEMA uchaguzi, Hivi una akili wewe?

Hii nchi haitakaa itulie, itakua ni mwendo wa Matukio baada ya matukio, mpaka mjifunze kutumia akili kutatua changamoto
 
Na hiyo ndiyo sababu hamtoitoa CCM,kuna kundi kubwa mijini na vijijini hawana smart phone
Kuishi kwa kutegemea watu wasiokuwa na taarifa ni kujidanganya mwenyewe. Ccm iliishia 2005, kuanzia 2010 ni mbeleko ya vyombo vya dola tu. Kama mnajiamini kwanini muendelee kuweka chaguzi za kihuni. Na ukitaka kuamini subiri chaguzi zitakazofanyika baada ya huu mtiti ndio utajua.
 
Kuishi kwa kutegemea watu wasiokuwa na taarifa ni kujidanganya mwenyewe. Ccm iliishia 2005, kuanzia 2010 ni mbeleko ya vyombo vya dola tu. Kama mnajiamini kwanini muendelee kuweka chaguzi za kihuni. Na ukitaka kuamini subiri chaguzi zitakazofanyika baada ya huu mtiti ndio utajua.
Endelea kujipa moyo, CCM itakutawala hadi mauti
 
Dah kama hii ndio point ya kutoandamana badi wewe mi punguani wa muda mrefu humu Jf.. bora useme tu siandamani sababu sina interest na siasa ila huandamani sababu unajiweza kiuchumi ...unajua Oct 29 kuna watu wanapesa za kutosha waliuliwa majumbani na hawakuandamana. Hela zako hazina chochote cha kufanya pale unapokaa kwenye target ya watesi.. wewe ni swali nyikani sema predator hajakuweka on sight siku ukiguswa hutaona hela zako na watoto wako wanaosoma vizur wakikusaidia.
Kilaza mmoja tu huyo mbinafsi kupitiliza unaangaika nae.
 
Kujifariji.Hivi tuseme ukweli maandamano yetu Tanzania ni shaghala bagala.Wanaopush wote wapo nje ya nchi.Kikawaida wanaopush wanatakiwa wawe mstari wa mbele,on the field.
Ili nao wawe wamehifadhiwa alipohifadhiwa Polepole au wawe wamewekwa pale alipo Lissu, fighting without strategies ni ujinga.
 
Una akili sana , hata vitani spirit inakuwa kubwa General akiwa mstari wa mbele vitani
Mimi ni mwanafunzi wa Napoléon. Napoléon ni simba wa vita na bingwa wa strategies .Kushinda mapambano ni akili na stratégies na uwe na jeshi pia.Angalia hata M23 wanavyosumbua Congo.Hata hapo Kenya kina Raila kwanza hawakuwahi kususia uchaguzi.
 
Mimi ni mwanafunzi wa Napoléon. Napoléon ni simba wa vita na bingwa wa strategies .Kushinda mapambano ni akili na stratégies na uwe na jeshi pia.Angalia hata M23 wanavyosumbua Congo.Hata hapo Kenya kina Raila kwanza hawakuwahi kususia uchaguzi.
Napoleon Bonaparte hata kwenye simu nina documentary zake nyingi , matukio na historia yake , jamaa alikichafua sana kwenye uwanja wa vita na huwa nachukua madini sana kutoka kwenye maisha , harakati na mbinu zake.

Inasikitisha sana Gen Z bongo Mange ndie Napoleon wao.
 
Labda huko kwenu ndo hawana bunduki! mi niko hapa Turwa shuleni hapa Tarime nikiwa pamoja na marafiki zangu kama 6 tunasubiri watu wajae road tukaunge tera! tumejiandaa vilivyo! Sisi hatujatoka kuandamana bali tumetoka kulipa kisasi kwa polisccm kwa walivyotuulia marafiki zetu na ndugu zetu. Kuna rafiki yangu mmoja hapa babaake aliuawa na yeye alikuwa amekamatwa! Ana uchungu balaa. Labda watu wasiwe wengi road lakini vinginevyo mtasikia Tarime polisccm kadhaa wame........ Naishia hapa!
 
Kujifariji.Hivi tuseme ukweli maandamano yetu Tanzania ni shaghala bagala.Wanaopush wote wapo nje ya nchi.Kikawaida wanaopush wanatakiwa wawe mstari wa mbele,on the field.
Kwa hiyo na kesho mtatufungia ndani? Manake genz wamesema hayana mwisho
 
Kujifariji.Hivi tuseme ukweli maandamano yetu Tanzania ni shaghala bagala.Wanaopush wote wapo nje ya nchi.Kikawaida wanaopush wanatakiwa wawe mstari wa mbele,on the field.
Yan ratiba zinatolewa ghafla tu waliotoa huwajui, waliopanga huwajui, wanapangia wapi hujui, kina nani viongozi hatujui, nini kinafuata baada ya maandamano hatujui, serikali ipi itaongoza nani aliwachagua hatujui.... Tupo tu kama mazombi maandamano maandamano!!!!
 
W
Kujifariji.Hivi tuseme ukweli maandamano yetu Tanzania ni shaghala bagala.Wanaopush wote wapo nje ya nchi.Kikawaida wanaopush wanatakiwa wawe mstari wa mbele,on the field.
Tunaopushi tukiwa ndani tupo na wengine wameshauawa na wengine wapo jera kama kina lisu
 
W

Tunaopushi tukiwa ndani tupo na wengine wameshauawa na wengine wapo jera kama kina lisu
Kama kuna mtu kilaza basi ni Lissu.Lissu alitakiwa kushiriki uchaguzi. Ninakuambia kama CCM wangefanya kama walivyofanya 2020 hapo ndo Lissu angewaush watanzania wakinukishe.Na wangekinukisha kweli believe me ujue Samia apendwi.Hapo ndo Tanzania ingepata uhuru kutoka kwa wakoloni weusi.
 
Mimi ni mwanafunzi wa Napoléon. Napoléon ni simba wa vita na bingwa wa strategies .Kushinda mapambano ni akili na stratégies na uwe na jeshi pia.Angalia hata M23 wanavyosumbua Congo.Hata hapo Kenya kina Raila kwanza hawakuwahi kususia uchaguzi.
We dada ni muongo balaaa🤭
Nikikumbuka zile post zako za nyuma🤣
 
Yan ratiba zinatolewa ghafla tu waliotoa huwajui, waliopanga huwajui, wanapangia wapi hujui, kina nani viongozi hatujui, nini kinafuata baada ya maandamano hatujui, serikali ipi itaongoza nani aliwachagua hatujui.... Tupo tu kama mazombi maandamano maandamano!!!!
No strategies,no solutions. Yaani Maria na Mange hawana akili. Na leo ndo mwisho wa Chadema.
 
Back
Top Bottom