Rose Mayemba
JF-Expert Member
- May 7, 2012
- 721
- 1,017
Ama kweli wametiwa upofu,wamepewa macho na hawalioni anguko lao,wamepewa masikio bali hawasikii hata kelele za hatari,Mungu ajitenga nao,aamua kuweka kila kitu hadharani,wanajif anya hawajui wanachokiona,w ngi watafunguka siku ya mazishi yao.eee Mungu endelea kuwapumbaza watu hawa.