mambooooAiseeeeeee
Dada mwenyewe hana hata nyama kah!Hakimi hana noma ila masuala yote ya miamala anakwambia ngoja tucheck na Bi Mkubwa tuone anatusaidia vipi, si unajua Mama Mtu mimi mipango sina😀
View attachment 3404357
Ni sawa ila akifika sababu ya mali atakutana na kitu kizito...hata aoe mara ngapi ...mali ziko kwa jina la mama..mama ni mama...fucked feminists...Mwanaume atawaacha wazazi wake ataambatana na mkewe...
Salamu zimfikie mama Hakimi
Wake wazuri walikufa wote kipindi cha vita ya pili ya dunia, sasaivi wamebaki wanawake a.k.a ma TPMwanaume atawaacha wazazi wake ataambatana na mkewe...
Salamu zimfikie mama Hakimi
Half sijui ndio fasheni ..kwani wacheza hao especially Islam hawaoni wanawake Wazuri wa kiislamu waliojisitiri vizuri wanaojua maana ya ndoa na familia wawaoe? Wanaoa makapi na manunga embe hayo..mtu unatembea uchi mtaani...unasema umevaa nguo...ustaa wa kipumbavu ...Dada mwenyewe hana hata nyama kah!
Wanakuambia wanaume na wanawake ni sawa...kwamba hata wao Wana UUME.Wake wazuri walikufa wote kipindi cha vita ya pili ya dunia, sasaivi wamebaki wanawake a.k.a ma TP
Ndugu hv vidubuwasha vinavyofanana na misumari vina minato ya kutoshaa mamaeee!Dogo anafaidi nini hapo? Binti hana hata paja
"vina minato ya kutoshaa mamaeee"
🤣🤣Hapo bibie utapatiwa ushauri tu ,ukihitaji msaada wa kifedha( Zote zipo kwa mama Hashimu)
Kmmk 😁😁🙌Hapo anajua dogo ametembea na hela ya msosi tu
Unakuta wanasubiria mama awatumie pesa ya shopping. Kwenye goti Kuna sura ya mtu.Hakimi hana noma ila masuala yote ya miamala anakwambia ngoja tucheck na Bi Mkubwa tuone anatusaidia vipi, si unajua Mama Mtu mimi mipango sina😀
View attachment 3404357