Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Mwanamke mmoja alikuwa haridhiki jinsi nguo zake zilivyokuwa zinafuliwa zikipelekwa kwa mwenye mashine za kufulia.
Siku moja akampa mtu ampelekee jamaa mwenye mashine afue nguo na kumpa karatasi ndogo iliyoandikwa
''ACHA KULIPUA KAZI,UNAPOFUA CH*PI UWE UNATUMIA SABUNI NYINGI MANA HAZITAKATI''
Jamaa alipopata ujumbe kweli alijitahidi,kesho yake mwanamke akatuma tena nguo na messages nyingine.
''NILISHASEMA USILIPUE KAZI,TUMIA SABUNI NYINGI UNAPOFUA CH*PI ZANGU,''
Jamaa alikasirika sana,alipomaliza kufua naye akaandika karatasi yenyewe message kisha akampa aliyekuja kuchukua nguo ili amfikishie huyo mwanamke.
message ilikuwa inasema.''HAKIKISHA UWE UNASAFISHA SEHEMU ZAKO ZA SIRI MARA KWA MARA ILI CH*PI ZAKO ZITAKATE''
Siku moja akampa mtu ampelekee jamaa mwenye mashine afue nguo na kumpa karatasi ndogo iliyoandikwa
''ACHA KULIPUA KAZI,UNAPOFUA CH*PI UWE UNATUMIA SABUNI NYINGI MANA HAZITAKATI''
Jamaa alipopata ujumbe kweli alijitahidi,kesho yake mwanamke akatuma tena nguo na messages nyingine.
''NILISHASEMA USILIPUE KAZI,TUMIA SABUNI NYINGI UNAPOFUA CH*PI ZANGU,''
Jamaa alikasirika sana,alipomaliza kufua naye akaandika karatasi yenyewe message kisha akampa aliyekuja kuchukua nguo ili amfikishie huyo mwanamke.
message ilikuwa inasema.''HAKIKISHA UWE UNASAFISHA SEHEMU ZAKO ZA SIRI MARA KWA MARA ILI CH*PI ZAKO ZITAKATE''