soul provider
JF-Expert Member
- Jun 21, 2014
- 1,346
- 2,160
Tupo digital mkuu
Hii analogy ya kutongozana wakati mapenz yenyew hayadumu
Wanaume wenywe verse za kutongozea hawajui
Tafadhali ICHANA me nitoe kwny hilo kundi la madomo zege
Tupo digital mkuu
Hii analogy ya kutongozana wakati mapenz yenyew hayadumu
Wanaume wenywe verse za kutongozea hawajui
Mtu nnaempenda naomba asijekunitongoza kabisa make atanikata stimu
anizoee tu tuingie kwenye mahusiano kimtindo
ahsante....
Aisee wekareee!!hizo zakutokutongozana ndio nzuri maana ukishamega tunda bidada anaanza kuuliza so wat r we ...wee hapo kidume ndio unampa ukweli we just sexmates....the look on her face is priceless
Tupo digital mkuu
Hii analogy ya kutongozana wakati mapenz yenyew hayadumu
Wanaume wenywe verse za kutongozea hawajui
mpenzi wangu wa mwanza wala sikumtongoza...
Mmmhhhhh
hizo zakutokutongozana ndio nzuri maana ukishamega tunda bidada anaanza kuuliza so wat r we ...wee hapo kidume ndio unampa ukweli we just sexmates....the look on her face is priceless
ewe mdada/mkaka hakikisha umetongozwa kwanza kabla ya kuanza mahusiano yakimapenzi na mtu yeyote.
ile stail yakuzoeana tu na mkajikuta mnafanya mambo wanayotakiwa kufanya wapenzi itakutokea puani, pale utakapoanza kufikia future na mtu kumbe walaaaaa hajui kama wewe nimpenz i wake,
kwanza muulize anajuwa maana ya kutongoza? from no where tu mtu akuvulie chupi? hii ni thread ya kizembe kabisa.
Mtu nnaempenda naomba asijekunitongoza kabisa make atanikata stimu
anizoee tu tuingie kwenye mahusiano kimtindo
ahsante....
mimi na wewe tusitongozane bana......