Hakikisha umetongozwa

Hakikisha umetongozwa

Unatongoza ili iweje...Wanawake unakamata tu na kusuguaaaa..
 
Ha ha ha ha ha ha ha! Neno 'Ningejua Huja Mwishoni' wengi hawafuati utakuja kuckia hv unanpenda kweli? Wakati huo mnapanda mlima kwa mara ya 3.
 
majibu yako huwa yananifurahisha sana mkuu

thread zingine watu wajipime kabla kuzileta hapa, hivi unaweza kwenda faragha na mwanamke bila mtongozo? bado na chupi anavuwa hivihivi tu? ndio maana kwenye kizungu ni mwanaume ndio anaomba kuolewa na mwanamke. please marry me honey.
 
mchezo wenyewe hua hivi:
Siku ya kwanza mnakutana kwenye kituo cha daladala na baada ya kusalimiana mnauchuna na kila mtu anajifanya yuko bize na simu yake
Siku ya pili gafla mnakutana ndani ya daladala mkirudi majumbani na kituo cha kushuka ni kimoja na baada ya kushuka konda anawarudishia chenji kwa kuwaomba awape noti moja ambayo nyie mtagawana hapo kwenye kibanda cha matunda hapo kituoni
Kwa pamoja mnamkubalia konda na mnaondoka pamoja kuanza kuisaka chenji huku mkijidai kumlalamikia konda kwamba hakustahili kufanya hivyo. Matokea yake story za hapa na pale zinaanza kuendelea ikiwa ni pamoja na kufahamu wapi kila mtu anapoishi
Halafu ina................................ (nitarejea baada ya matangazo)
 
Idiot, the principle is simple:

18 years old - Mimi Mdogo.
20 years old - Nipo Chuo na busy, niache.
23 years old - you are not my type.
24 years old - Hawa wanaume wa hapa chuo wanahangaika tu na first year, shauri yao.
25 years old - Upo Kazini, watu kazini hawaowi hata siku moja ... michepuko tu.
27 years old - Mbona hawanisemeshi, wananidharau.
30 years old - wanaume hawana maana, bora tu nijizaulie.
35 years old - Baba wa mtoto yuko wapi? hata simjui, ukichunguza alikuwa anauza kibanda cha chips,

USHAURI - UKIONA UNAPENDWA JARIBU KUPENDA ILA KUWA MWANGALIFU.
 
thread zingine watu wajipime kabla kuzileta hapa, hivi unaweza kwenda faragha na mwanamke bila mtongozo? bado na chupi anavuwa hivihivi tu? ndio maana kwenye kizungu ni mwanaume ndio anaomba kuolewa na mwanamke. please marry me honey.

mkuu kweli kabisa.. au labda hawaelew maana ya mtongozo

Cc: Lara1
 
Tatizo Matendo yanatongoza vizuri kuliko maneno. Mtu akijipanga anahusika mpaka mdada mwenyewe anasema this is love.

hizo ni hisia tu,kuhisi unapendwa kumbe walaa hujaambiwa unapendwa, sasa mtu akikubadilikia utamlaumu, hajawahi kukuomba muwe wapenzi,nasisitiza hakikisha wote mnaelewa kuwa ni wapenzi, mmoja atongoze mwingine akubali
 
hizo zakutokutongozana ndio nzuri maana ukishamega tunda bidada anaanza kuuliza so wat r we ...wee hapo kidume ndio unampa ukweli we just sexmates....the look on her face is priceless

haha nimeipenda hii mkuu
 
kuna waschana anakuta ametokea kumpenda mtu alafu anaependwa haonyesh dalili za kutongoza sasa itakuwaje?
 
Teknolojia ilivyokuwa siku hizi ukitongoza tu umeharibu siku hiz ni kuvuta mkono mpaka ndani
 
Back
Top Bottom