Hakikisha umetongozwa

Hakikisha umetongozwa

hizo ni hisia tu,kuhisi unapendwa kumbe walaa hujaambiwa unapendwa, sasa mtu akikubadilikia utamlaumu, hajawahi kukuomba muwe wapenzi,nasisitiza hakikisha wote mnaelewa kuwa ni wapenzi, mmoja atongoze mwingine akubali
Kuambiwa kwa mdomo dada yangu ni maneno tu. waswahili wanasema hata kwenye khanga yamo. Yani kusema ohhoo dada nakupenda umenivutia haya kila mtu anaweza kuyasema. Issue ipo kwenye matendo. Je, matendo yako yanaendana na maneno? Je, ni vema mtu aanze na lipi? maneno au matendo? Kimsingi matendo ndoo yanakuandaa mdada kupata maneno. Upo?
 
Huyo ni wa mwanza, wa wapi mlizoeana tu?

Huyu mwingine a kilimanjaro, chagga baby, waala nae sikutia neno! story tu nikakuta tuko katika mahaba mazito! No strings attached...!
achilia mbali huyu mnyakyusa! duh! bahati hizi!
 
Huyu mwingine a kilimanjaro, chagga baby, waala nae sikutia neno! story tu nikakuta tuko katika mahaba mazito! No strings attached...!
achilia mbali huyu mnyakyusa! duh! bahati hizi!

eeeeh tena unaweza ondoka kimya kimya bila taarifa akianza kulalamika muulize kwani mie nani kwako uone atakavyoangaika kukupa jibu , tena kaza jicho kabisa nani alikuambia mimi mpenzi wako .
 
Huyu mwingine a kilimanjaro, chagga baby, waala nae sikutia neno! story tu nikakuta tuko katika mahaba mazito! No strings attached...!
achilia mbali huyu mnyakyusa! duh! bahati hizi!

cc: miss neddy
 
Last edited by a moderator:
Kuambiwa kwa mdomo dada yangu ni maneno tu. waswahili wanasema hata kwenye khanga yamo. Yani kusema ohhoo dada nakupenda umenivutia haya kila mtu anaweza kuyasema. Issue ipo kwenye matendo. Je, matendo yako yanaendana na maneno? Je, ni vema mtu aanze na lipi? maneno au matendo? Kimsingi matendo ndoo yanakuandaa mdada kupata maneno. Upo?

at least uliambiwa japo ni uongo, lakini hujatongozwa halafu mtu unamwita baby tu kila siku
unajijaza uongo kila siku tunapendana kumbe unapenda peke yako mwenzio anajua ni kampani tu, sasa akikumwaga unamlaumu kwa lipi, bora aliekuongopea
 
Hawa watu hawaeleweki ukiwatongoza watakusumbua sana hata akikubali muda umepita, lakini ukiwapigia " counter attack" utawamega kilain bila usumufu
 
Ila yule wa sumbawanga ulimtongoa, bado kumtongoza tu.

Hahahahaa! mnasema wachaga eti bila pesa huwapati!? aah wapi! Mwanamke kama mwanamke bwana, anategemea na jinsi anavyoelewana na mwanaume aliyemrushia nanga!
Kiufupi mi nawakubali sana mabinti wa kichaga, wamejaa economics vichwani mwao, sio kuwaza ngono tu na kukamuana kila wakati! sikuwaza kama mtoto mdogo wa kidato cha 5 anaweza kunipa mawazo ya degree level! duh...
Japo wachaga wanapewa vikashfa msenzi, aisee waacheni tu, wanajua kuhusu utafutaji..!
 
nguvu zenyewe za kutongoza zipo kweli? nilishawahi kutongoza binti toka form four akaja kunikubalia kidato cha sita na mahusiano hayakudumu!! yaan nianze blaah blaah nafuatilia sijui miezi mingapi, mimi akishasema "mi thtakii" mara moja tu nishapeperuka na sigeuki nyuma!
 
ewe mdada/mkaka hakikisha umetongozwa kwanza kabla ya kuanza mahusiano yakimapenzi na mtu yeyote.

ile stail yakuzoeana tu na mkajikuta mnafanya mambo wanayotakiwa kufanya wapenzi itakutokea puani, pale utakapoanza kufikia future na mtu kumbe walaaaaa hajui kama wewe nimpenz i wake,

nilishaacha habari za kutongoza..maana muda mwingine ni kujidhalilisha tu!!
 

mkuu inaonekana wampenda saaaaana miss neddy eenh? hahahaa!

sinaga bahati ya kuzngushwa na wanawake kwenye mitongozano, mostly huwa nawachana, kama hunipendi, niambie nichape lapa mapeeema tusisumbuane! na kama wanipenda, basi tuungane tufanye yetu!

Thats my policy! -- sipendi zile za mara kesho mara mtondogoo! one day is enough to think about falling in love..!
 
Last edited by a moderator:
mkuu inaonekana wampenda saaaaana miss neddy eenh? hahahaa!

sinaga bahati ya kuzngushwa na wanawake kwenye mitongozano, mostly huwa nawachana, kama hunipendi, niambie nichape lapa mapeeema tusisumbuane! na kama wanipenda, basi tuungane tufanye yetu!

Thats my policy! -- sipendi zile za mara kesho mara mtondogoo! one day is enough to think about falling in love..!

Mkuu ukimpiga kibut ni-PM
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ukimpiga kibut ni-PM
Hahahaaaa! hebu jaribu kuanza kumfukuzia nione moto wako.!
nimekupa ruhusa nione makali yako dadeki!
ila mbona kuna magoma mengi hum! hujawaona aisee?
 
mkuu inaonekana wampenda saaaaana miss neddy eenh? hahahaa!

sinaga bahati ya kuzngushwa na wanawake kwenye mitongozano, mostly huwa nawachana, kama hunipendi, niambie nichape lapa mapeeema tusisumbuane! na kama wanipenda, basi tuungane tufanye yetu!

Thats my policy! -- sipendi zile za mara kesho mara mtondogoo! one day is enough to think about falling in love..!

Aaah we mura vipi..???
 
Last edited by a moderator:
Aaah we mura vipi..???
safi mrembo! thats my policy honey!
sipendi tantalila! za nini kwanza? muda wenyewe huu mdoooogo, kuna mambo mengi ya kufanya ati!

njoo pembeni nikwambie siri ya mafanikio nyengine! lol
 
safi mrembo! thats my policy honey!
sipendi tantalila! za nini kwanza? muda wenyewe huu mdoooogo, kuna mambo mengi ya kufanya ati!

njoo pembeni nikwambie siri ya mafanikio nyengine! lol

Kuja pembeni namuogopa miss neddy lol...mkwara aliopiga leo si wa kitoto
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom