Mpaka wafanye wazungu? Mbona kuna mtaalam asilia kutoka Shinyanga anatengeneza mvua!
Ufisadi wake ndio uliomfanya awatafute wa Thailand na kule alikuwepo waziri mkuu rafikiye ambae alifukuzwa kwa ufisadi; sasa kama angemchukua huyo wa Shinyanga mshiko wake angeupataje?Fisadi ni Fisadi tu.!!