Hakika Lowassa Alivunja Rekodi Kuingiza Wanafunzi Wengi Sekondari!

kwenye hizo takwimu zako umepata pia takwimu za drop-out? maana hapa sio swala la kuanza shule, swala ni kumaliza na kuelimika. wengi wa waliokuwa wanaingia sekondari walikuwa hawajui kusoma wala kuandika vizuri hata wenyewe sometimes walikuwa wanashangaa walifaulu vipi. na matokeo yake, wengi wameshindwa kabisa kuendelea na shule.
 
Hatimaye nimepata Takwimu mpya za Elimu kwa mwaka 2009. Haijawahi kutokea katika historia ya Tanzania wanafunzi kuingia Sekondari kwa wingi kama wakati wa kipindi cha Edward Lowassa. Historia itamsuta kwa mengi lakini kwa hilo jamani tumpe hongera yake. Hongera Edward Lowassa!

Ni kweli kwa ujumla shule za Kata ni za kiwango cha chini hasa ukizingatia kuwa kwa kiasi kikubwa zinaendeshwa na Walimu wa Vodafasta. Ndio, wanafunzi wa shule hizo wanakaa kwenye ndoo kama walivyopigwa picha kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwananchi la leo. Naam ni kweli kabisa kuwa wananchi waliburuzwa sana tu ili wajenga shule za Sekondari.

Pamoja na hayo yote ni heri mwanafunzi akae chini shuleni kuliko kukaa tu nyumbani. Pia ni heri tushughulikie suala la ubora wa elimu wakati wanafunzi wako tayari mashuleni kulikuwa kulishughulikia wakati wanazagaa mitaani. Pasipo na mori wa Kilowassa na Kisokoine hatutaweza kuendeleza sekta hii ambayo ndio msingi mkuu wa kuwatokomeza wale maadui wanne wa maendeleo: Umaskini, Ujinga, Maradhi na Ufisadi (Hilo la nne sijaliongeza mimi, aliliongeza Mwalimu Nyerere mwenyewe kwenye Hotuba zake za miaka hiyo - kama mnataka rejea nitawatumia hivi punde!)

Mkuu mbona ujaacha kuboronga. Kuanzisha ni kitu rahisi sana kuliko kuendeleza.

Alichofanya Lowassa sio kitu kipya Tanzania. Lakini matatizo yake ni kuviendeleza shule hizo. Hakuna sustainability yoyote ambayo itafanya shule hizo kutoa watoto wenye elimu ambayo itawafanya kuboresha mazingira yao.

Nyerere alianza na elimu ya UPE mpaka leo ubora haujaongezeka. Sasa kwanini tufikiri kuwa mipango ya Lowassa itafanikiwa.

Robert alijenga secondary kila kata mara baada ya uhuru. Na mpaka wa sasa wana struggle.

Siku zote usipunguze standards hili kuongeza quantity.
 
Sera za Lowassa zilikuwa ni Bora Elimu na si Elimu Bora, sidhani kama tunataka kujenga taifa lenye jamii iliyoelimika sera za bora elimu zinafaa kufuatwa. Mwanafunzi anamaliza shule akiwa na ujinga ule ule alioingia nao shuleni kwa sababu ya kukosa walimu, vitabu na vitu vingine muhimu vinavyotakiwa ili upate elimu bora.
 
Tangu Lowassa aondoke hakuna yeyote amefikishwa mahakamani kuhusu Richmond na wala hatujui ukweli kilichotokea Richmond zaidi ya story za mtaani na tatizo la umeme na migawo limeongezeka na billions zinaendelea kulipwa kwa ajiri ya umeme usiokuwepo,tutamlaumu Lowassa kila siku lakini ukweli inawezekana hata senti moja hakuchukua na waliokula bado wako serikalini ndio mana hakuna chochote kilichotokea baada ya lowassa kuondoka,tatizo ni huyu Raisi JK asiyejua anafanya nini zaidi ya kuongoza nchi kiswahili swahili tuu!
 
Lowasa atakukumbukwa kwa hili la shule za Kata. Yes kuna mapungufu kwenye zoezi hili kama walimu, vifaa, mabweni nk lakini Roma haikujengwa siku moja naamini kama dude angekuwa waziri mkuu mpaka leo hayo yote yangekuwa ni histori.

Lakini ni bahati mbaya sana tuna waziri mkuu yupo yupo tu....
 
Hatimaye nimepata Takwimu mpya za Elimu kwa mwaka 2009. Haijawahi kutokea katika historia ya Tanzania wanafunzi kuingia Sekondari kwa wingi kama wakati wa kipindi cha Edward Lowassa. Historia itamsuta kwa mengi lakini kwa hilo jamani tumpe hongera yake. Hongera Edward Lowassa!

Ni kweli kwa ujumla shule za Kata ni za kiwango cha chini hasa ukizingatia kuwa kwa kiasi kikubwa zinaendeshwa na Walimu wa Vodafasta. Ndio, wanafunzi wa shule hizo wanakaa kwenye ndoo kama walivyopigwa picha kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwananchi la leo. Naam ni kweli kabisa kuwa wananchi waliburuzwa sana tu ili wajenga shule za Sekondari.

Pamoja na hayo yote ni heri mwanafunzi akae chini shuleni kuliko kukaa tu nyumbani. Pia ni heri tushughulikie suala la ubora wa elimu wakati wanafunzi wako tayari mashuleni kulikuwa kulishughulikia wakati wanazagaa mitaani. Pasipo na mori wa Kilowassa na Kisokoine hatutaweza kuendeleza sekta hii ambayo ndio msingi mkuu wa kuwatokomeza wale maadui wanne wa maendeleo: Umaskini, Ujinga, Maradhi na Ufisadi (Hilo la nne sijaliongeza mimi, aliliongeza Mwalimu Nyerere mwenyewe kwenye Hotuba zake za miaka hiyo - kama mnataka rejea nitawatumia hivi punde!)

big up mkuu kwa observation yako na hakika huu ndiyo utumishi mahiri na makini aliotuahidi wakati anakula kiapo pale mjengoni.

kosa lake lake ni pale alipoacha utumishi mahiri na makini na kutuingiza kwa Richmond Dev LLC ndipo tulimshikia na kumuadhibu... alivuna lichopanda
 
Mkuu mbona ujaacha kuboronga. Kuanzisha ni kitu rahisi sana kuliko kuendeleza.

Alichofanya Lowassa sio kitu kipya Tanzania. Lakini matatizo yake ni kuviendeleza shule hizo. Hakuna sustainability yoyote ambayo itafanya shule hizo kutoa watoto wenye elimu ambayo itawafanya kuboresha mazingira yao.

Nyerere alianza na elimu ya UPE mpaka leo ubora haujaongezeka. Sasa kwanini tufikiri kuwa mipango ya Lowassa itafanikiwa.

Robert alijenga secondary kila kata mara baada ya uhuru. Na mpaka wa sasa wana struggle.

Siku zote usipunguze standards hili kuongeza quantity.

Sasa ataendeleza vipi na ninyi mlikuwa "mnautaka Uwaziri Mkuu" na mkauchukua kisha suala la Richmond mkaligwaya baada ya kuupata!
 
..katika wilaya yetu sekondari za kata zilijengwa kabla ya huyo Lowassa wenu.
 
Kumbuka hata Mtoza Ushuru Zakayo alirudisha mara dufu ya dufu mali alizowadhulumu wananchi wa enzi hizo na Masihi akamwezesha aanze upya mbele ya kadamnasi - Hakika ile ziara ya Lowassa kule kwenye 'Nchi Takatifu' huenda ilimbadilisha na akazaliwa upya kama Saulo wa Taso, tumpe nafasi tena tuone jinsi elimu yetu itakavyopaa na kutuwezesha kufikia malengo ya milenia kabla ya 2015!

Mchungaji Kishoka u wapi, shusha sala ya ubatizo tuanze upya na Edo wetu!

Nafikiri Sala ya Utakaso ingefaa zaidi.Kwa maoni yangu huyu jamaa hata mngemzamisha kwenye kijito cha utakaso halafu mkamuosha kwa Hisopo hakika hawezi kuwa safi tena.
 
Nafikiri Sala ya Utakaso ingefaa zaidi.Kwa maoni yangu huyu jamaa hata mngemzamisha kwenye kijito cha utakaso halafu mkamuosha kwa Hisopo hakika hawezi kuwa safi tena.

Hakuna lisilowezekana Tanzania...zamani niliwahi kuandika makala hii...kumbe ilikuwa ni unabii:

Is Political Comeback a Norm?
Our society is peculiar. That is how one disappointed activist described Tanzania after the recent Kiteto by-election. It seems she expected too much from the aftershocks of Richmondgate.

Yes, Richmondgate has created a lot of expectations. In fact it is even credited for transforming our society. For instance, one journo describes "How Richmond re-ignited reading culture" (The Citizen 27/02/0.

Were it not for Richmondgate what else would compel our government to do away with its culture of accumulating teachers arrears? A threat of a nationwide teacher's strike? Maybe. But some will argue that we have been there before. They will remind us that in July 2006 the then Minister responsible for Education had to promise that the government will pay teachers their accrued allowances up to January 2006, amounting to Tsh 850 million. But what happened?

Thus, they will insist that the twin scandals of Richmond and BoT have proved beyond reasonable doubt that we have enough money to carter for teachers. That is why the government has promised to release more than Tsh8 billion to clear teachers' pending arrears. But, what about the other outstanding debts, the skeptics of the impact of Richmondgate would ask?

These skeptics will go on to catalogue how our society easily forgives and forget. They may even argue that it is not peculiar to Tanzania. Rather, it is an African essence. To buttress that assertion they may appeal to the coiner of ‘Africa's short memory of hate' who argues that "sometimes we forget too readily, but it is a very important democratic resource."

This coiner goes on to provide a classical case to prove Africa's culture of Tolerance: "My Founder-President, Jomo Kenyatta, was imprisoned by the British and dismissed as leader unto darkness and death by the colonial governor. Kenyatta lived to become the leading Anglophile of Kenya, suffering without bitterness and remaining fond of the British."

Another case he provides is that of Nelson Mandela. It is well-known and publicized. But, what about this: "You have Ian Smith, who let loose all sort of devastation on the population of Zimbabwe. Then comes the ending of the unilateral declaration of independence, and this architect of terror becomes a Member of Parliament and continue to abuse the new black government of the day of Robert Mugabe"?

Almost persuaded, we may look back and try hard to remember. With the aid of our historians we could remember all those we ‘hated' in the wake of the Arusha Declaration. We called them ‘kupe' i.e. ‘ticks'. In hindsight, we will see what has become of those we labelled ‘wahujumu uchumi' i.e. ‘economic saboteurs.' Thanks to Tanzania's short memory of hate, they are no longer exploiters. Some are partners in development. Others are our engines of development.

Perhaps it is this amnesic culture of forgiving and forgetting much faster that explains why it is easy to stage political comebacks. How else can we explain the public credibility of those whose political career seemed to be over after Mwalimu Nyerere's open critique on ‘Our Leadership and the Destiny of Tanzania'? How can one explain the fall and rise of those who cast the first stones to our immediate former Prime Minister? Didn't they also scandalize us in the past?

Villains of yesterday can become heroes/heroines of tomorrow. Isn't that what our politicized adage ‘yaliyopita si ndwele tugange yajayo' i.e. ‘what has befallen us is no longer a big deal/illness, let us focus on the future' imply? Why don't we simply forget that overblown link between Richmondgate and deaths due to lack of access to electricity? After all Richmondgate, like Loliondogate, is just another ‘political accident'. And how can ‘African culture of tolerance' query this when its adage affirms that ‘ajali haina kinga' i.e. ‘an accident is not preventable'?

Our anti-corruption activists may be appalled at the political comeback of the immediate former Vice President of South Africa who was demoted due to corruption charges. They may do well to mull on why, as the new President of the African National Congress, he will most likely be voted by ‘the people' to become the next President of South Africa. But what is so peculiar about this political comeback? Isn't it so close to home? Why should we be wary about something our society has democratically normalized as a part and parcel of our political landscape?

If many scandalous politicians have resurrected their political career why then should it be anathema when those implicated in Richmondgate wish to do so? By the way, do they choose themselves? Where do they get their legitimacy and credibility? Aren't we the ones who vote them in and/or out?

Ultimately, it is our society that determines the success of a political comeback. If we opt to be peculiar so be it. After all, it is the chief architect of our seemingly peculiar ‘familyhood' who sarcastically told us that we get the leaders we deserve.
 
Tatizo lako hujawahi kupata njaa kama ile ya wakati wa Ukame wa Sahell!


Njaa ni maafa. Mada inazungumza elimu. Kitu ambacho si maafa na kinachoweza kupangwa na kuwa executed bila kuwa na longolongo.
 
Tunaomba usahihishe usemi wako. unamaanisha shule kama majengo au shule kama majengo,maabara,walimu na vitabu? ukweli ni kwamba wale watoto hawakupelekwa kusoma bali kukua, na kufanya genge la kukutania.
Ndo mambo ya viongozi wetu wa kukurupuka (poor planning). kwani wakati wanaanzisha mem walikuwa hawajui kuwa wanafunzi wengi watamaliza darasa la saba baada ya miaka saba. ndo maana tunakurupuka na kuhangaika na kuweka matamko na kujenga majengo yanayoangukia watoto wetu.
 
mbona hamzungumzii mvua ya kutengeneza kutokea thailand?? oh...aliingiza wananfunzi wengi.......nyoo......hiyo mvua ilikuwa......hee richmonduli2. Hakika ukizoea kuiba unaiba hadi maiti ukidhani inauzika, we hata wazungu tunaoamini wana pesa na akili hawaja fikiria mvua ya kutengeneza .....lowasa na mvi zake anakurupuka na mvua ya kutengeneza!!!!!mwe...twafwa twilola.
 
Huyu bwana kweli ana bahati! kwa maovu hayo bado kuna watu wanamhitaji!!! Mungu tusaidie sisi bado vipofu.
 
Huyu bwana kweli ana bahati! kwa maovu hayo bado kuna watu wanamhitaji!!! Mungu tusaidie sisi bado vipofu.

Nani ni mbadala wake?Ni nani anaweweza au ameweza kufanya ujenzi wa shule za sekondari uongezeke kwa zaidi ya asilimia 50% katika mwaka 1?
 
mbona hamzungumzii mvua ya kutengeneza kutokea thailand?? oh...aliingiza wananfunzi wengi.......nyoo......hiyo mvua ilikuwa......hee richmonduli2. Hakika ukizoea kuiba unaiba hadi maiti ukidhani inauzika, we hata wazungu tunaoamini wana pesa na akili hawaja fikiria mvua ya kutengeneza .....lowasa na mvi zake anakurupuka na mvua ya kutengeneza!!!!!mwe...twafwa twilola.

Mpaka wafanye wazungu? Mbona kuna mtaalam asilia kutoka Shinyanga anatengeneza mvua!
 
Acheni mambo ya ushabiki huo mulungu mlopewa utawatokea puani siku! Mungu awalaani! kama shule zenyewe mnazosifia ndo hizo ambazo walipa kodi walichangia wakati wanatoa kodi zikiwa hazina waalimu vitabu na mahitaji muhimu kama nyumba za waalimu, Naomba ulaaniwe wewe uliyetoa mada hii!
 
Mkuu uliyoyanena hayapingiki. Ila lazima tujiulize iweje Baba wa Kambo anashindwa, hata maziwa ya mgando hatupi! Takwimu zimeanguka vibaya sana toka tumweke benchi Baba Edo aliyewahi kughani 'Tupo Tumejaa Tele'! Sasa mbona wenzake aliowaacha hawapo tena wala hawajajaa tele?

Nyie mnaojitahidi kumsafisha fisadi Lowassa mbona mnasahau kazi moja kubwa aliofanya; aliwapa uraia watu ambao Mkapa aliwanyima!! Sina haja ya kuwataja majina na sasa kazi yao kubwa ni kujalibu kulipa fadhila!!
 
Back
Top Bottom