naan ngik-kundie
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 1,766
- 2,420
Na umri wote huo bado Huna kazi ya kufanya, Au ndo kuijua mitandao ya kijamii ukubwani?
Asante kwa picha japo kichwani ulisahau walau kupitisha kitana na pengine maji
ahahah mbona unafanana na yule jamaa aliyekufa na nyoka wake kule songea............ kikikiki wacha kutupia selfie
Ohoooo!!!Na umri wote huo bado Huna kazi ya kufanya, Au ndo kuijua mitandao ya kijamii ukubwani?
Upo kigoma kama sijakoseaau kwakuona picha ukajua m.m sinakazi nahapo nikokazini