Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,804
- 110,032
Na ndiyo maana Mwenyezi Mungu akanibariki na hii Shani ( Tunu ) ya kuwa "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" nilivyo.
Mzee baba huwa unakaa na kadikshenari ka vivumishi vya sifa pembeni...😂
Hatari sana kwa milanguage...