Huyu mtu aliye jenga nyumba anakuwa ametumia fedha nyingi sana kujenga nyumba.
endapo anataka kuitumia kibiashara ni haki gani za msingi anazotakiwa kupewa mpangaji na ni haki gani za msingi anazotakiwa kupewa mwenye nyumba?
Ni nyumba ya namna gani ambayo serikali inairuhusu kuwa ya kupangisha?
Na malipo yakoje?
endapo anataka kuitumia kibiashara ni haki gani za msingi anazotakiwa kupewa mpangaji na ni haki gani za msingi anazotakiwa kupewa mwenye nyumba?
Ni nyumba ya namna gani ambayo serikali inairuhusu kuwa ya kupangisha?
Na malipo yakoje?