Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,080
Yaani watu tunashangilia kujiuzuru kwa ndugai kisa kahoji mikopo Dah hiyi nchi ngumu sana
Kabisa serious tunafurahia na tulipiga
Na makelele ajiuzuru ajiuzuru kisa tu kwa kuwa historia Yake ya nyuma ilikuwa mbovu muda mwingine hata saa mbovu inasema ukweli
Kuna muda hadi machozi ya nani toka kuona watanzania wenzangu jinsi tulivyo pigwa kipapai nazani alie tuloga kafa
Na mwingine kwa ujasiri anasema rais aliyepita ndie raisi aliyeongoza kwa kukopa kuliko wote vipi huyu yupo nje
Ya madaraka si bado muda wake unapima kwa vigezo vipi ? Mpaka unatoa kauli kama hiyi
Mnaniacha hoi sana watanzania wenzangu hiyi nchi ngumu ngoja tu nitafute viza
Kwa tabia hii ya mama enu kila atayeonesha kutaka kiti chake atakuwa adui yake
Sasa ndio siasa gani sasa hizi?
Umeme umepanda,mafuta juu,pembejeo juu, nk
Alafu watz kwa akili zetu hatuoni hayo tunakenua meno kushangilia
Mmerogwa nyinyi sio bureee
Kabisa serious tunafurahia na tulipiga
Na makelele ajiuzuru ajiuzuru kisa tu kwa kuwa historia Yake ya nyuma ilikuwa mbovu muda mwingine hata saa mbovu inasema ukweli
Kuna muda hadi machozi ya nani toka kuona watanzania wenzangu jinsi tulivyo pigwa kipapai nazani alie tuloga kafa
Na mwingine kwa ujasiri anasema rais aliyepita ndie raisi aliyeongoza kwa kukopa kuliko wote vipi huyu yupo nje
Ya madaraka si bado muda wake unapima kwa vigezo vipi ? Mpaka unatoa kauli kama hiyi
Mnaniacha hoi sana watanzania wenzangu hiyi nchi ngumu ngoja tu nitafute viza
Kwa tabia hii ya mama enu kila atayeonesha kutaka kiti chake atakuwa adui yake
Sasa ndio siasa gani sasa hizi?
Umeme umepanda,mafuta juu,pembejeo juu, nk
Alafu watz kwa akili zetu hatuoni hayo tunakenua meno kushangilia
Mmerogwa nyinyi sio bureee