Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,431
- 45,692
Kwani yeye alikuwa anawafanya nini wabunge/watu waliokuwa wakihoji mwenendo wa serikali awamu ya 5?, alimfanyia nini CAG, prof assad? Hoja yake ina mashiko lakini kwa sasa watu hawaipi uzito sana, kutokana na aliyowatendea watu, akishirikiana na jiwe.kwani kama kweli Tz, ingekuwa na mihimili 3 iliyowazi wala hii haikuwa inshu kubwaa!!
Jpm anasemwa amekopa sana kwa kulinganishwa na awamu ya 3, na 4 tu, miaka 5, trilioni 29?!!ingefika 10, je?na huyu atapimwa tu, kibaya zaidi jiwe alikuwa anasema yeye hakopi pesa yote ni ya ndani?yule naye uongo ulizidi mno, ili kujijengea sifa za kipuuzi!!!
Mafala wengi huwa hivyo
Kumtetea mbaya kwa woga