nkungwe123
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 444
- 95
- Thread starter
-
- #41
^^
Mwanamke hana tabia... Tabia huipata kwa mume
^^
Huo ufala sasa..... demokrasia ikizidi ni ujinga km sio utumwa. Hakuna jipya kk , yote ni mapokeo. Nyajibu za kila siku kifamilia ziko wazi sana
Ufala uko wapi hapo? Unasikiliza story za kijiweni washkaji wanavyoishi na wake zao?
Ila hiyo n siri ya mkeo usitoe nje yametendeka ndani mje mnampa nan faida
Unatakiwa umwambie "samahani mke wangu naomba uandae chakula" akikataa basi ingia jikoni na umpakulie kiroho safi. Kitu ambacho hatakiwi kukataa ni MOJA tu, haki ya ndoa
Acha kumtesa mwenzio kwani kuwa wawili tu ndo iwe sababu ya yy kutokuwa na msaidiz au ni mama tu wa nyumban? Me nipo na mume wangu tu hatuna mtoto na wala mimba sina ila mfanyakz nnae tena tulipotoka tu honeymoon akaletwa
Wanawake wa siku izi ni htr tupu. Jana nimenuniwa mwenzenu. Kisa eti alikuwa busy na sikumsaidia.
Cha kushangaza ni kuwa kulikuwa na shughuli mbili;
1. Kuosha sufuria 3, sahani 2, bakuli 1, mwiko, upawa na vijiko.
2. Kwenda kununua nyama buchani umbali wa m.150 toka nyumbani kwetu.
Nikamwambia zote zake. Kanuna mpaka Leo.
Hahahahaaaaa.....
Wajibu wa Mke ni nini? Dada zangu haki sawa zinawapeleka kombo. Kuweni makini.
Zamu yako kupika.
Kwani muliandikishiana mkataba yeye aje kufanya kazi hizo kwako?
Kwani yeye mtumwa wako?
Acha kumtesa mwenzio kwani kuwa wawili tu ndo iwe sababu ya yy kutokuwa na msaidiz au ni mama tu wa nyumban? Me nipo na mume wangu tu hatuna mtoto na wala mimba sina ila mfanyakz nnae tena tulipotoka tu honeymoon akaletwa
Kuandaa chakula ni ihsani yake tu lakini sio akiacha umuone kakosea. Mke akikataa kunyonyesha mtoto wako basi hana kosa, ni mtoto wako atakama amemzaa yeye
Aibu aibu..... nilimsema mpaka akanikoma Jana. Akapanga vitu vyake eti anarudi kwao. Nikamwambia akasimulie yaliyotokea bila kupotosha lolote, akaogopa na kurudi ndani....
Namuandalia somo lake LA wajibu wake wa ndani!!!
Wanawake wa siku izi ni htr tupu. Jana nimenuniwa mwenzenu. Kisa eti alikuwa busy na sikumsaidia.
Cha kushangaza ni kuwa kulikuwa na shughuli mbili;
1. Kuosha sufuria 3, sahani 2, bakuli 1, mwiko, upawa na vijiko.
2. Kwenda kununua nyama buchani umbali wa m.150 toka nyumbani kwetu.
Nikamwambia zote zake. Kanuna mpaka Leo.
Hahahahaaaaa.....
Wajibu wa Mke ni nini? Dada zangu haki sawa zinawapeleka kombo. Kuweni makini.
Kumtesa???? anamtesa wakati wapo wawili tu ndani ya nyumba, kweli??? kufua, deki, chakula cha wawili kinamshinda??? ridiculous kabisa... anyways, makuzi/malezi yanatofautiana, nisiwe hakimu...
nadhan mume wako anamatatizo siyo ajabu wewe ukafikir sawa kuna haja gan ya kuoa kama shughuli zote azifanye house girl
Kama hzo kazi mnaziona rahisi sana mbona huwa nyinyi wanaume hamzifanyi?
Kama hzo kazi mnaziona rahisi sana mbona huwa nyinyi wanaume hamzifanyi?
Ufala uko wapi hapo? Unasikiliza story za kijiweni washkaji wanavyoishi na wake zao?
hapo ndip mnakoseaga kwan majukum yako ww ni yapi?? Inamaana hakufundishwa kaz kama hzo kwa wazaz wake?? Usasa na haki sawa ndio yanayowaletea matatzo katka ndoa...... Mbona mama zetu na bibi zetu hawakuwa na haya mnayoyataka nyinyi?