nkungwe123
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 444
- 95
Wanawake wa siku hizi ni hatari tupu.
Jana nimenuniwa mwenzenu.
Kisa eti alikuwa busy na sikumsaidia.Cha kushangaza ni kuwa kulikuwa na shughuli mbili;
1. Kuosha sufuria 3, sahani 2, bakuli 1, mwiko, upawa na vijiko.
2. Kwenda kununua nyama buchani umbali wa m.150 toka nyumbani kwetu.
Nikamwambia zote zake.
Kanuna mpaka Leo.
Hahahahaaaaa.....
Wajibu wa Mke ni nini? Dada zangu haki sawa zinawapeleka kombo.
Kuweni makini.
Jana nimenuniwa mwenzenu.
Kisa eti alikuwa busy na sikumsaidia.Cha kushangaza ni kuwa kulikuwa na shughuli mbili;
1. Kuosha sufuria 3, sahani 2, bakuli 1, mwiko, upawa na vijiko.
2. Kwenda kununua nyama buchani umbali wa m.150 toka nyumbani kwetu.
Nikamwambia zote zake.
Kanuna mpaka Leo.
Hahahahaaaaa.....
Wajibu wa Mke ni nini? Dada zangu haki sawa zinawapeleka kombo.
Kuweni makini.