Haki sawa

Haki sawa

nkungwe123

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2014
Posts
444
Reaction score
95
Wanawake wa siku hizi ni hatari tupu.

Jana nimenuniwa mwenzenu.

Kisa eti alikuwa busy na sikumsaidia.Cha kushangaza ni kuwa kulikuwa na shughuli mbili;
1. Kuosha sufuria 3, sahani 2, bakuli 1, mwiko, upawa na vijiko.

2. Kwenda kununua nyama buchani umbali wa m.150 toka nyumbani kwetu.
Nikamwambia zote zake.

Kanuna mpaka Leo.
Hahahahaaaaa.....
Wajibu wa Mke ni nini? Dada zangu haki sawa zinawapeleka kombo.

Kuweni makini.
 
Wanawake wa siku izi ni htr tupu. Jana nimenuniwa mwenzenu. Kisa eti alikuwa busy na sikumsaidia.
Cha kushangaza ni kuwa kulikuwa na shughuli mbili;
1. Kuosha sufuria 3, sahani 2, bakuli 1, mwiko, upawa na vijiko.
2. Kwenda kununua nyama buchani umbali wa m.150 toka nyumbani kwetu.
Nikamwambia zote zake. Kanuna mpaka Leo.
Hahahahaaaaa.....
Wajibu wa Mke ni nini? Dada zangu haki sawa zinawapeleka kombo. Kuweni makini.

Muwekee msichana wa kaz kuepusha kununiwa
 
Haki sawa iyoooo.....

mmhh, hata hiyo haki sawa sasa imepitiliza. Kuosha hvyo vyombo tu anaona shida na kununua nyama. Akipata mtoto ataishije? Anaweza kukupa umnyonyeshe kabisa kisa haki sawa
 
mmhh, hata hiyo haki sawa sasa imepitiliza. Kuosha hvyo vyombo tu anaona shida na kununua nyama. Akipata mtoto ataishije? Anaweza kukupa umnyonyeshe kabisa kisa haki sawa

Hahahaaaaa..... huyo ndo mwalimu wa digrii wa taifa hili
 
Hata hana ujauzito mdada wa kazi???!!! Hafu tupo wawili tuu, Mimi na yeye! Hapo hapana!!!

Acha kumtesa mwenzio kwani kuwa wawili tu ndo iwe sababu ya yy kutokuwa na msaidiz au ni mama tu wa nyumban? Me nipo na mume wangu tu hatuna mtoto na wala mimba sina ila mfanyakz nnae tena tulipotoka tu honeymoon akaletwa
 
Acha kumtesa mwenzio kwani kuwa wawili tu ndo iwe sababu ya yy kutokuwa na msaidiz au ni mama tu wa nyumban? Me nipo na mume wangu tu hatuna mtoto na wala mimba sina ila mfanyakz nnae tena tulipotoka tu honeymoon akaletwa

Serikali mbili oyeeee....
Mi sijaleleqa ivo aiseeee
 
mmhh, hata hiyo haki sawa sasa imepitiliza. Kuosha hvyo vyombo tu anaona shida na kununua nyama. Akipata mtoto ataishije? Anaweza kukupa umnyonyeshe kabisa kisa haki sawa

Sizan kama alimka tu akawa na kaz ya kuosha vyombo na kununua nyama vikaz vya nyumban huonekana vidogo lakin huwa haviishi usipoangalia unaweza kujikuta hupumziki
 
Sizan kama alimka tu akawa na kaz ya kuosha vyombo na kununua nyama vikaz vya nyumban huonekana vidogo lakin huwa haviishi usipoangalia unaweza kujikuta hupumziki

Jiko LA gas (hawashi mkaa), hakudeki (nyumba ilikuwa safi). Aliniita dk. 2 baada ya kutoka kitandani. Alitoka kwenda dukani kununua kiberiti tuu... ndipo tuhuma zikaanza. Mtetee tena
 
hahahahahahaha, anatudhalilisha kwa kweli huyo mdada mwenzetu

Aibu aibu..... nilimsema mpaka akanikoma Jana. Akapanga vitu vyake eti anarudi kwao. Nikamwambia akasimulie yaliyotokea bila kupotosha lolote, akaogopa na kurudi ndani....
Namuandalia somo lake LA wajibu wake wa ndani!!!
 
Aibu aibu..... nilimsema mpaka akanikoma Jana. Akapanga vitu vyake eti anarudi kwao. Nikamwambia akasimulie yaliyotokea bila kupotosha lolote, akaogopa na kurudi ndani....
Namuandalia somo lake LA wajibu wake wa ndani!!!
mkuu hapo una kazi. Akipata ujauzito huyo heeee utaisoma namba...
 
Back
Top Bottom