Haka katoto katanitoa roho jamani.

Haka katoto katanitoa roho jamani.

Ndiyo raha na karaha za kuanza mchepuko ukubwani! wenyewe walioanza mawiwo hawababaishwi na vigoli uchwara!

KAPONGO mbona unaanzisha sredi ndani ya uzi wangu.
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha benteke uuuuupsi pole yako haya ndo mapenzi upofu,nivuruge,nipoteze au nizamishe kabisa
 
Last edited by a moderator:
Nipendwe na nani sasa...yaani unamaanisha mimi na wewe wote tuwe wanawake...hakiyanani [MENTION]Honey Faith [/MENTION]

Nimekuaje sasa?Sasa kwanini unitamanie?Wewe utapendwa kama shemeji yake ule upendo wa agape ili mradi wote tupendwe.........lol🙂:beer::beer:🙂
 
Nimekuaje sasa?Sasa kwanini unitamanie?Wewe utapendwa kama shemeji yake ule upendo wa agape ili mradi wote tupendwe.........lol🙂:beer::beer:🙂

Dah.! afadhali. maana
 
mmhh hizo rangi mchanganyiko mmhhh sikupatii picha unavyokuwa ila pole sana
 
mmhh hizo rangi mchanganyiko mmhhh sikupatii picha unavyokuwa ila pole sana

hiyo reflection ni zaidi ya rainbow...unaweza kimbia ukajua jinni linakufata kumbe mtu......mimi mwenyewe saa ingine nikijiangalia kwenye kioo nataka nikimbie. Natisha ati. MankaM
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom