Haka katoto katanitoa roho jamani.

Haka katoto katanitoa roho jamani.

uzuri wa kitu upo machoni kwa mtazamaji.

Hii kitu nabishana nayo kila siku....mtu kama kimu kadashiani huwezi sema uzurui wake uko machoni kwa mtazamaji...au basi kuna dada mmoja wa bongo muvi anaitwa jakilini wolpa.
 
Hii kitu nabishana nayo kila siku....mtu kama kimu kadashiani huwezi sema uzurui wake uko machoni kwa mtazamaji...au basi kuna dada mmoja wa bongo muvi anaitwa jakilini wolpa.

wolpa nae kakomaaa hatari....
 
Omba bodigadi kabisa.....nilishasema hivyo viatu utaviona vizito

Bodigadi wa nini?Hivi unamjua mume wangu vizuri?Mie sitaki kuongea sana jaribu tu kumuulizia uambiwe detail zake mie sitaki kusema sana
 
Bodigadi wa nini?Hivi unamjua mume wangu vizuri?Mie sitaki kuongea sana jaribu tu kumuulizia uambiwe detail zake mie sitaki kusema sana

Kwani mume wako hanijuwi mimi...kwanza ninavyotembea tu lazima akimbie....
 
hahahahahah....hayo ndo mambo ya mahaba nitoe ufahamu... pole we :A S-rose:
 
Jamani kuna kabinti kameniloga sijui...kwa kweli sijui nini kimenikuta. kananigombeza hako....akinipigia simu nakimbia kama vile kuna bomu limerushwa ili tu asisikie kelele za sehemu niliyopo. Yaani nimejikuta tu namuogopa.Sijawai kwenda kwenye birthday lakini huwezi amini mpaka sasa ndani ya mwezi mmoja na nusu nshauzuria kama sio sita basi saba, zote za mashost zake na nikienda nae navalishwa kimodo......mwenyewe benteke shati la zambarau suruali nyekundu na viatu vya njano au shati la rangi ya udhurungi kamtura rangi maji bahari na makobasi meusi na soksi nyeupe...hah,sina hamu.

angalia kasikufanye babu jinga mkuu hivi vitoto vya dotcom mwisho
 
labda kakuroga kweli..hebu angalia kifuani kwake kama kuna alama 3 kama mithili ya chale vile
 
Back
Top Bottom