Haka katoto katanitoa roho jamani.

Haka katoto katanitoa roho jamani.

Mwaliko utakaofuata wa Birthday mwambie utaenda uchi wa mtu, labda itasaidia kupunguza mialiko ya siku za kuzaliwa.

mkuu ulimaanisha nini yakhee?
 
Mwaliko utakaofuata wa Birthday mwambie utaenda uchi wa mtu, labda itasaidia kupunguza mialiko ya siku za kuzaliwa.

BAK we acha tu
 
Last edited by a moderator:
Weweeeeee usitake nivunjia ndoa yangu.Kwani hujui kuwa mume wangu ni mkali.........lol

Huyo mkali ndo mzuri.....hujuwai kuona geti limeandikwa mbwa mkali lakini bado wezi wanaiba. Kama yuko huku mwambie kuibia lazima....kwi.kwi.kwi. ngoja nisubiri.
 
Hizo rangi ni zaidi ya mti wa krismasi. Hahahahaha afu anasema kama modo? Atakua hamjui santa ni nani.
 
Ben siku hizi kawa mcheza shoo toka awe na hako katoto.

hahahaha......nakwambia mpaka nyimbo za diamond nimekremisha...vitoto vyasikuhizi havina adabu angalau ujue nyimbo mbili tatu za diamond ndio utavipata. Nilivyoikariri nyimbo ya "my number one" sasa, mpaka kuucheza huu wimbo naujua. kwi.kwi.kwi.
 
Back
Top Bottom