Baraka Roman
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 692
- 262
Chukua hatua sema naye
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hivi hata wewe si unaweza kuniondolea stress?
..........lol!!!!!!!!!!!
fanya hivii ako karafiki chako katoto kapotezee maana unaweza ukapata majanga labda akacheza ile michezo ya watoto kibaba baba akaaribiwa kwenye papuchi yake ukaja kamatwa ww..!kingine kaa mbali na huyo mtalaka wa watu maana hujui nini kitakachokupata x-hubby wake akijua
Huyu inaonekana haelewi
Sijui hadi nimwambie kwa lugha gani!!
Inaonyesha vitoto vya siku hzi ni talented hivi huwa mnapiga story gani na haka kadogo ka miaka4 mpaka streess zikutoke
Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
Mzee wa ku assume bado unaendelea tu
Unaweza ukaja siku moja ku assume wewe ni mwanamke na ukataka waku do
Shauri yako!
Ni kweli,lakini kumbuka this is not the matter of winning someone's love but run away from it
Naman ya ku deal na vitu hivi ni tofauti kabisa!
Yamekuwa haya tena! Cha msingi acha hiyo tabia chafuchafu ya kurubuni watoto wa watu. Haiwapendezi wazazi na jamii. Ukitaka kuentertain watoto wadogo hakikisha unawachanganya na wakwako and give fun as a group, siyo msela anatoka from no where anaanza kuwapa watoto wa watu vijiazam halafu anakuja kufanya promo JF. Utafanywa hamna na wanaume wenye hasira. Shauri yako!
Dah!
Sasa nikianza hizi pilika si ndio nitaanza kumfikiria kitendo ambacho mimi sikitaki?
Mlisho nyuma = Feedback ........... LOLMkuu kabla sijajibu chochote hebu weka kumbukumbu sawa
Unamaanisha nini hapo?