Haka kajamaa kana dharau sana.

Haka kajamaa kana dharau sana.

Sasa kama kalipwa hiyo pesa kwa shughuli hizo kwanini awaheshimu???!!

Heshima ina mkondo wake ati. . . . .Kaona nchi masikini haina heshima na fedha yeye kwanini awaheshimu??!??
 
Europe ni baridi, Afrika ni joto
Muwe mnatumiaga na tuakili twenu tudogo wakati mwengine
Hv kuna heshima gani kuvaa suti wakati ni mla rushwa? ?si afadhali kuvaa sindausi lkn mwadilifu..wake up guyz

Hahaa, kukariri maisha ni shida sana! Mbantu akiwa anapanda ndege kwenda nje ya nchi suti inamuhusu! Kwangu, Messi amevaa simple kulingana na mazingira na tukio husika. Ingekuwa ni usaili wa kazi na akatokea na hilo vazi kweli ungekuwa wenda wazimu!
 
Back
Top Bottom